Habari wana JF, kwa wale ndugu zangu wa mwaka wa Kwanza mliochaguliwa katika chuo kikuu cha Dodoma hasa kitivo cha sayansi za jamii na Lugha au College of Humanities and Social Science. Kuna mambo...
Kwanza nawapongeza sana kwa kuchaguliwa chuo hiki ambacho kinafanya vizuri ktk utoaji wa Shahada na Shahada ya Uzamili ktk Elimu Maalum.
KARIBUNI SANAAAA!
Natumaini great thinkers wote ni wazima...
Nimeguswa sana na jambo kubwa ambalo serikali yetu inajitahidi kuinua elimu yetu ambayo inaonekana kudidimia. Wanaita BIG RESULT NOW.
wana mpango...
Wana jamvi,
Kumekuwa na mtazamo hasi na dhaifu wa utendaji wa Dr. Ndalichako na Baraza la Mtihani Tanzania NECTA hasa kutoka kwa watu wanaojiita WACHAMBUZI na wengine hujiita Wasomi. Wengi wao...
Ukiona majirani, ndugu na jamaa wanakuchukia simply kwasababu umesoma jua umewazid kitu. Kabla ya kuanza kwa Udom 2007 hapakua na malumbano ya vyuo, umewah kujiuliza ni kwanini?
Kwasababu vyuo...
INSTITUTE OF COMMERCIAL MANAGEMENT
Chuo cha ICM UK kwa kushirikiana na COMMERCIAL COLLEGE OF ARUSHA wanatoa KOZI za ngazi ya Cheti- Arusha, Tanzania kwa kozi zifuatazo:-
...
WanaJF,someni haya wapeni wote ;NATUREOF ACCOUNTINGSINGLEENTRY BOOKKEEPINGDOUBLEENTRY BOOKKEEPINGTHEACCOUNTING EQUATIONDEBITSAND CREDITSTHEACCOUNTING CYCLEPREPARATIONOF THE BALANCE SHEET
naomben mnijuze kuhusu ajira na kama course hii inalipa hapa tz na ajira zake zinapatkana maeneo kama yap na kuzpata ndo ile unahaso kitaa miaka au fasta tu ukimalza chuo kwa anae jua lakn plz
Napenda kumshauri Dr. Ndalichako wa NECTA agombee uraisi kupitia chama atakachopenda yeye 2015 maana kwa muda mfupi aliokaa NECTA ameondoa mtandao wa wauza mitihani na kuwashikisha adabu wanafunzi...
Jamni naombeni msaada kuna majina yaliotoka loanboard kuwa hayajawekwa viambatanishi jina langu nipo wameniandikia cheti cha kuzaliwa wakati nilikua affidavity jamani affidavity is inatumika...
Tunashukuru TCU imewachagua first year 1200,ni kwamba chuo hiki kishiriki cha udsm bado hosteli hazitoshi,majengo kipindi nasoma Advancehapa 2005 ni yale yale hakuna nyongeza,cha kawaida watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.