Chuo cha Elimu ya biashara (CBE)kinatarajia kuanzisha kozi za shahada ya Pili(Masters)hususani fani za biashara MBA na shahada ya uzamivu (PhD) kuanzia mwakani 2014.kiukweli habari hii ni njema...
Imefahamika kuwa, pamoja na kusajiliwa na TCU, kozi ya BCom inayotolewa na UDOM haitambuliwi na bodi za wataalamu (Professional Bodies kama NBAA, NBMM etc).
Hilo bado halijathibitishwa kwa kozi...
Poleni na majukumu ya kila cku wanajf mimi kwa majina naitwa husen ngilangwa nimehitimu kidato cha nne mwaka jana na kwa bahat mbaya sikufanikiwa kujiunga na kidato cha tano kwasababu nlipata...
Wana JF wengi wetu kutokana na kutokua na info,au kwa chuki tumekua tukipotosha kuwa waajiri hawataki graduates from UDOM.
To prove u guys wrong mwaka jana makampuni makubwa kama...
Nilianza kazi mwaka2008 katika halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo katika shule ya sekondari Matipwili Km100kutoka Dar.Nikatumika ipatayo miaka4.Ukatokea utaratibu kwamba anaetaka kusoma ni kwa...
jamaa yangu yupo jeshi leo kanipigia simu nichek profile yake wamemchagulia chuo cha open unversity (bachelor of education with science) na nimeambiwa hicho chuo ni special kwa watu...
Tafadhali kwa wale ambao wamewahi kuhangaika kutafuta scholarship za masters, mm nimepata admission ktk fani mafuta na gesi online na gharama yake ni dollar 10000. tafadhari sana yoyote ambaye...
Jamani wana JF nataka kujua ubora wa wahasibu na maauditor kutoka vyuo vyetu vya hapa nchini.. Ni chuo kikuu kipi hapa nchini kinatoa vijana wazuri zaidi kwenye idara hizo jamani?
Nikikumbuka enzi ya chuo Pale NAH,Daaa enzi ile hakuna ku Carry,lecturer anataka kula kichwa nawe unakomaa mpaka anakuachia,copy to mbao zote za matangazo.
Hapo una sup,QMS,ACC AU UNGOZEA NA WEWE.
Ni miaka mingi imepita tangu walipokianzisha miaka ile ya 90 sielewi lengo lao.Je ile ni saccos ya walimu au kinatetea haki za walimu?Walimu wetu wana hali mbaya kwani wengi hawapewi mishahara...
Hv kuna hiyo certificate course ilikuwa inatangazwa inategemea kuanza mwaka huu wa masomo but ni kwa wanawake, hivi kuna mwanaJF aliye na uelewa kdg wa mafanikio yake.
Au ni mambo ya kupoteza muda...
kuna utata kwamba mwaka mpya wa masomo wa elimu ya juu utaanza mwakani mwezi wa pili kwa sababu kuna wanafunzi wanaohitajika kwenda jeshini kwa awamu ya tatu , je ni kweli!?
na pia nimesikia...
wana jf naombeni mnijuze kama inawezekana mwalimu wa diploma masomo ya chemistry na geography kuomba degree ya pharmacy na atatumia matokeo au cheti gani pindi aombapo?ufafanuzi plz
wAKUU NAULIZA MTOTO WANGU ANATAKA KUSOMA ICT RELATED DEGREE AND HAPA BONGO KUNA VYUO VINGI SANA VINATOA DEGREE HIYO. NAPENDA KUPATA USHAURI YA WAPI NIMPELEKE KAMA PRIVATE STUDENT? ANGEPENDA SANA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.