UTAFITI ULIOFANYIKA UNAONEKANA PhD YA SHERIA YAANI LL,D (LATIN LEGUM DOCTOR) NDIYO YENYE HESHIMA KULIKO ZOTE DUNIANI HII IMETOKANA NA JINSI INAVYOPATIKANA NA KAZI YA SHERIA ILIVYOKUWA NYETI SANA...
Salaam zenu wakuu.................ningependa kujuzwa sehem wanayotoa mafunzo kuhusiana na ufundi huo wa magari,nafaham kwamba unahitajika uwe na idea ya autoelectric ili uweze ku-deal na kifaa...
Habari mwana jukwaa la elimu?Mimi kwasasa nafundisha mkoa wa Pwani wilaya ya mkuranga na ningependa kuhamia mkoa wa pwani wilaya ya kibaha au Dar Es Salaam. Kwa ambaye yuko tayari ani PM...
Wana JF Idd Mubarak
Nataka kuuliza hivi mtu anaesoma combination ya CBG anaweza kufanya course gani university ...?
Na ni shule gani bora kwa sasa hivi ambayo ina CBG
Kindly advice
Jamani nauliza mwenye kujua tarehe ya supp na special za chuo cha mtakatifu augustine zinaanza tarehe ngapi, maana matokeo tayari yyametoka nataka kujua kwa yule mwenye ufahamu.:help:
Tangazo la JKT
MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAPENDA KUWAALIFU WAHITIMU WOTE WA KIDATO CHA SITA KUWA MAFUNZO YA JKT YATAENDELEA KUENDESHWA KWA AWAMU TOFAUTI TOFAUTI...
mimi ni mwalimu wa shahada natafuta mwalimu yeyote anayetaka kuja halmashaur ya urambo tabora.
VIGEZO.
1. Awe mwalimu wa Sekondari
2. Awe anatoka wilaya ya KOROGWE.
Kwa anayehitaji...
leo nilikuwa napita kwenye mtandao mara nimekutana na hii organization higher leaning students support fund(HLSSF)
kuwa wanatoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kama unahitaji website yao ni...
Wanasema ngojangoja yaumiza matumbo. Jamani ni nani aliye na tetesi au habari za uhakika ni lini TCU watatoa majina ya wanafunzi wataojiunga na vyuo vikuu?
Hakuna kazi ngumu kama kusubiri. Japo...
jaman UDSM yageuka danguro mapenzi yanafanya sehem yoyote giza likiingia,mwanafunzi mmoja wa udbs(udsm school of bussiness)afumaniwa kwenye gari la mshikaji na mshikaji wake alitoka kwenye gari...
Nina mdogo wangu anamatokeo haya kwa o'level, F ya history, C ya kiswahili na Chemistry na mengine yote ana D. Lakini amesoma certificate ya education yaani sasa ni mwalimu kwa sasa na hii...
Wadau nisaidieni, Sisi wenye diploma za vyuo chini ya nacte majibu yalichelewa ndio kwanza tumeweza kuapply TCU sasa. Je tutawezaje kuapply loan board wakati Link ya OLAS IMEFUNGWA? naomba...
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto...
SAUT supp na special exams zinaanza tarehe 9th September 2013, huku UD zikiaanza tarehe 16th September 2013.
Source: UD almanac and SAUT almanac.
Haya jitutumueni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.