Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Huyu ni mwl Yusuph, mwl ambaye kwake ualimu ni wito kama enzi za Nyerere
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kiongoz anaingia madarakani. Anaanza. 1. Kufuta ada. 2. Kuongeza madarasa. 3. Kuondoa mitihani. 4. Kuweka kitu kipya. 5. Ameona inafaa, what,why! 6. Kupaka wanja. 7. Kuvaa pensi. 8. Kupiga...
1 Reactions
0 Replies
349 Views
Tusidharau wala kubeza au kuona wameonewa waliokutwa na hatia ya wizi wa mitihani! Mtoto darasa la saba unamwibia mtihani Akifika form 2 anaiba tena mtihani Akifika form 4 anaiba tena...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Udanganyifu kwy mitihani ya darasa la saba 2022 unampunguzia sifa kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA Athumani Amasi; za kuthibitishwa kwenye nafasi hiyo adhimu na kuibua matamanio ya enzi za Katibu...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwema wakuu, Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya. Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar)...
14 Reactions
152 Replies
13K Views
Nahitaji mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi idara elimu Sekondari aje Mwanza jiji nije Dar .
0 Reactions
3 Replies
512 Views
Habari wana JF Kuna mtoto wa dada yangu anauwezo mkubwa sana ila amesoma katika mazingira magumu sana ya kijijini lakini hajafanikiwa kufaulu vizuri. Huku tukiendelea kusubiri selection...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanafunzi 1, 073, 941 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2022 wakiwemo wavulana 514, 846 na wasichana 559, 095 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2023...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za jioni wandugu? Nina kijana amesoma kuanzia nursery hadi darasa la saba English medium schools. Matokeo yake masomo yote amepata alama A. Amechaguliwa kwenda kusoma shule ya sekondari...
0 Reactions
3 Replies
527 Views
Mustakabali wa shule zilizofutiwa ni upi Msaada kwa mwenye taarifa za BARAZA LA mitihani Tanzania (NECTA)
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu hizi degree za online amity university wakishirikiana na UDSM zinaaminika? Au ndo ile umejipinda kusoma af unaambiwa chuo hakitambuliwi
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Naombeni ushauri jamani kwenye hili swala mimi ni mwanafunzi ninae tarajia kwenda kuanza masomo yangu ya chuo mwaka wa kwanza katika chuo cha mt Agustino (SAUT) MWANZA ni mnufaika wa mkopo kwa...
8 Reactions
70 Replies
5K Views
Wadau kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, tunapoelekea mwisho wa mwaka nimejipanga mwaka ujao nijaribu bahati yangu nje ya nchi, nahitaji kujua namna gani nitapata full funded scholarship hasa...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu wadau nilikuwa naomba ushauri wenu nipo kwenye ajira ya uwalimu kutokana na. Mda nilioka nahitaji kubadilisha kutoka uwalimu kwenda uhamiaji au Computer science au ICT katika wizara yoyote...
6 Reactions
104 Replies
19K Views
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea na lengo lake la kuimarisha sekta ya elimu ujenzi wa madarasa 8000 ya secondary unaendelea. Lengo la ujenzi wa madarasa haya ni...
1 Reactions
12 Replies
629 Views
Habari za wakati huu, Kichwa cha habari kinajieleza, kwahyo nisikupotezee muda wako. Unapoamua kukaa na kuandika histori ya maisha yako kwenye kitabu, unakuwa umefikiria nini hasa? kwanini...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Habari jf Nina mdogo wangu, amepatwa na matatizo ya kiuchumi na familia, hali iliopelekea kusimamisha masomo kwa muhula mmoja. Swali langu je akitoa taarifa kamili kwa loan officer ataweza kupata...
0 Reactions
5 Replies
864 Views
Naam ndugu zangu mliokua mnasubiri majibu ya rufaa HESLB teyari wameshayatoa pitieni sipa akaunti zenu mjionee
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo...
11 Reactions
269 Replies
16K Views
Kama uko Arusha, Songea au Moshi napenda kukushirikisha wazo la huduma na upate. Inbox. Ni wazo la kimkakati sio pesa za bure, sio betting wala sio upatu. Usije na mawazo hayo! Kwa waliosoma...
0 Reactions
4 Replies
340 Views
Back
Top Bottom