Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Amani hakuna tena kwa wanasua wa khonda maghorofan,ni baada ya ugomvi uliotokea jana usku kat ya wanafunz wa2 na bodaboda mmoja!imebidi polis waje kulnda usalama kufuatia vtsho vya bodaboda wengi...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Operamin vp bado tu tayari list ya wavulana hapahttp://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=221&Itemid=385 na ya wasichana hii hapa mtu wangu Tabalo...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
NDUGU HABARINI; KWA YOYOTE ANAYEJUA KUHUSU KUTOKA KWA MAJINA KWA WALE WALIO KOSEA KATIKA FOMU ZA BODI ANIJUZE. :help::help::help:
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hello Eti Maji ya betri ni acid ya aina gani?
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Naomba kujuzwa bei ya chini ya kununulia laptop kwasababu ina umuhimu mkubwa pale uendapo kusoma chuoni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninaomba kwa ye yote mwenye idea ni wapi ninaweza apply kwa sponsorship ya MA-ed hata tuition fees pekee anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu mahitaji ya shule tajwa naomba anisadie.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Heshima kwenu. Naomba mnisaidie kanuni ya kutafuta mzingo wa robo duara na mzingo wa robo tatu duara
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wanajamvi hasa walim serikal haiwezi hata siku moja kuboresha maslai ya walim zaid inazid kuwarundikia mizigo Mf mwaka huu kuna BIG RESULT NOW NA BUSSINES AN USSUAL huu ni mzigo kwani sio dawa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naombeni msaada wana jf, nataka kubadili jina langu la uanachama hapa jf, nafanyeje?? Naombeni steps za kufanya
0 Reactions
5 Replies
1K Views
plse kwa anaye fahamu machame girls .na anayejua wanafungua lini na joining instruction anijuze
0 Reactions
2 Replies
3K Views
naombeni msaada wenu jamani. nime aply vyuo viwili, MIpango, na EDUCATION, lakini mipango nimepata nakuhusu ualimu bado hawajatoa post hadi sasa, nafikiria sana kuhusu hili naweza nikasubri hadi...
0 Reactions
2 Replies
992 Views
MIMI NI MWALIMU WA SEKONDARI NIPO WILAYA YA MBOZI MKOANI MBEYA,NATAFUTA MWALIMU WA KUBADILISHANANAE KUTOKA WILAYA YA MBALALI MKOANI MBEYA.Kwamawasiliano.0764036606/0658036606
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Ndugu wana jf, Nilipangiwa kazi wilaya mpya ya Kakonko shule ya sekondari Kanyonza ambapo wazazi wenye wanafunzi wa kidato cha nne na uongozi wao walikuja shuleni na soda na maji,tulifanya kikao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa anayeijua shinyanga sec A.k.A shybush tafadhali naomba anijulishe shule iko vipi kimazingira na kimasomo pia?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani ambaye anaweza kunisaidia maelekezo mafupi ya vifaa na sare za shinyanga seko anisaidie plz maana cku zinasonga 2 af joini cjaipata bado
0 Reactions
3 Replies
8K Views
jaman post za coz hz ztatoka lin kwa anae jua atujuze wadogo zetu wamechoka mtaan
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Chanzo ni site ya tcu SN Name of the Institution Approved Acronym Type of University Head Office Remarks Registration Number...
2 Reactions
14 Replies
24K Views
kwa wale wanao tarajia kusoma pre-entry course DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY(DIT) tujuane apa
0 Reactions
14 Replies
4K Views
et kutoka kituo cha tren pugu had minaki high school pana umbal
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom