Kwa waliopata admissions za hizo post ada imepanda zaidi ya nusu ya iliyokuwepo kwa sasa post graduate ni 4400000 kwa mwaka na masters ni 8000000! Kaazi kweli!
MI ni mwana pcm wa karatu mwaka huu naomba kwa alie na joining instruction ya karatu tuwasiliane 0759640639 plz kwa alienayo tusaidiane tutakutana shule
chuo cha ifm ndugu zangu kinasheria usipofanya mtiani mmoja unakuwa ume disco hili ni kweli?sababu mdogo wangu kamaliza certificate ya accounts mwaka huu ila kutokana na matatizo ya kifedha kwao...
Serikali imeendelea kuwasisitizia wazazi na wanafunzi shuleni kuwa wanafunzi wote 136,000 waliofeli kidato cha pili mwaka jana na kutakiwa kurudia darasa hilo wanapaswa kufanya hivyo bila...
Habarini za kwenu wandugu,
jana nmetoka huko kuona hiyo shule ukizingatia n mpya so nlienda kuiangalia ipo vipi jaman kama umechaguliwa huko usithubutu kuhama au kuacha kwenda in short shule...
mtoto wa jiran yangu ansoma kidato cha nne katika shule moja ya private, mwezi uliopita amefukuzwa shule kwa kosa la kutoka nje ya shule usiku na kuiba nyanya shamba la jirani. shule inamkatalia...
Tafadhali wakuu naomba mwenye namba ya simu ya headmaster wa dareda sec,nina dogo langu limesubir form haijafika na reporting date ya skuli ni tar 29 of this month.
et wadau naomba 2 muongee ukweli juu ya hili swala et kat ya agronomy horticulture and agr.general ip ni best kuliko mwenzake na ni ip iko poa kwa ishu ya kupata ajira maana kuna, naomba majbu ya...
jamani wana jf mimi mpaka sasa sijapata joining instruction ya shule ninayoenda(songea boys) naombeni mwenye joining instruction yake anisaidie au mwenye link ya joining instruction ya hii shule...
There has been a marked rise of very good secondary schools all over the continent. Whilst government schools within African countries started off the best, following independence, much has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.