kwanza kabsa napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu, kwani mawazo yenu yamekuwa yakiwasaidia watu wengi tu, waliopotea na kukata tamaa, heshima yenu wakuu.
Lengo kabsa la kuachia uzi...
Habari
wana jamvi kuna dogo ameniachia hii kazi ya kumwangalizia CAS yake yeye ameenda Jeshi Batch ya Pili JKT sasa leo nime LOGIN kuangalia kama kuna chochote pengine nimeangalia kwenye Profile...
Mwalimu wa literature history english language ,o level to advance level napatkana kwa mwenye tempo na pia anaetaka tution, na mhitimu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam:BA ED. Napatikana dar
Waenga walinena"kikulacho kinguoni mwako" baada ya kunyonywa na CWT kwa mda mrefu waalimu waanzisha harakati ya kudai haki zao ndani ya CWT,soma muhtasali wa barua yao hii;
KAMATI YA WANACHAMA WA...
"Wanasema kweli kikulacho kinguoni mwako" baada ya kunyonywa kwa mda mrefu na CWT waalimu waanzisha harakati za kujikomboa nchi nzima kwa wewe usienataarifa hebu pitia muhtasali wa barua...
Hivi karibuni tumefanya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi Mipango. Watu walijawa na furaha kubwa kama vile wamepata kiongozi makini na shupavu. kwa upande wangu ni kama kukomboa kuku kwa ngombe...
Habari JF,
Kwa wale wanaotarajia kwenda vyuo vikuu angalieni ITV mtapata msaada jinsi ya kufanya ''application'' za vyuo. Hosts ni DR. Primus Nkwera na wengine. Msikilize kwa makini ili msije...
Taasisi ya RafikiElimu Foundation, inapenda kuwatangazia vijana wote wa kitanzania, nafasi za kushiriki katika mafunzo ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali. Bidhaa zitakazo...
Mengi yamezungumzwa kuhusiana na kuporomoka kwa elimu yetu nchini. Zaidi, yote haya yanatokea tukiwa hatujapona vidonda vya kupotezewa na ndugu zetu walioathirika na matokeo ya hivi karibuni...
nimepangiwa HGE lyamungo me hata sikuichagua first priority(lakin masomo yote9 nna c) nashangaa wamenipanga me nlitaka nisome PCM na topic nshakula za kutosha.malengo yangu kucoma comp science na...
Inakuaje kwamba nimeambiwa na jamaa kwamba usipoenda Jkt baada ya kumaliza 6 huwezi pata chuo so watakibania vp? Maana application ni through tcu inamaana kwamba tcu wataangalia walopita jkt au ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.