Wakuu,nimeaply tcu,nmeomba mbeya university bachelor of busnes admin,sasa naomba mwenye uzoef na hcho chuo anisaidie kunieleza quality ya hyo BBA ya must,pamoja na mazingira ya chuo hicho wadau
Habari wanajamvi!?
Naombeni msaada wa kuniwekea majina ya wasichana waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha 5 huko Kazima Sekondari Mwaka huu.
Asanteni sana!
RAIS mstaafu ben mkapa kesho anatarajia kuwepo chuo kikuu bugando kwa ajili ya kuweka jiwe la msng jengo la mwl nyerere learning resource center na kuongoza harambee ya jengo hlo.source cuhasso.
Wakuu,
Natumai mambo yanaenda sawa.
Nimemeliza form 4 mwaka jana na nilifanikiwa kupata daraja la kwanza. Sasa nashangaa wizara husika kunipangia shule ya advance wakati kwenye form nilijaza...
Kwa anaye ijua vizuri shule ya nyerere kitaaluma,mazingira na wapi ilipo please naomba anijuze maana cna uelewa nayo.Ningependa kutoa shukrani zangu kwenu.
jamani nawaombeni sana nimeomba kusoma afya ya diploma ya clinical officer serikalini sina uhakika kama watanichagua maana ni c ya ph,b ya chem na d ya bios pia b ya math na d ya eng.wasiwasi...
jamani nawaombeni sana nimeomba kusoma afya ya diploma ya clinical officer serikalini sina uhakika kama watanichagua maana ni c ya ph,b ya chem na d ya bios pia b ya math na d ya eng.wasiwasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.