Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kuulizia kuhusu minaki ndungu zangu kuhusu ubora wake
0 Reactions
0 Replies
701 Views
naomba kwa yoyote anayefahamu utaratibu wa kuhama shule maana nimeapangiwa tambaza comb ya cbg nina , hata ivo cpo vizuri katika geog, mimi naitaji nihame niende minaki kusoma pcb, je inawezekana...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
wakuu naomba msaada kwa anayeijua kigwe high school ki taaluma iko vipi na inapatikana mkoa gani?
0 Reactions
2 Replies
839 Views
jaman wakuu anaeifahamu vizuri nyarubanda high shool aniambie mazingira yake yanaridhisha? ina hostel na mambo mengine? naomba msaada.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu greter thinker naomba msaada kuhusu ufaulu wa muheza high school kwa anaefahamu naomba anifahamishe detail za shule hii na ubora wake.wana jf napenda kuwasilisha hoja.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
East Africa Radio @earadiofm 25s Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha 5 yanatangazwa sasa na Naibu waziri wa elimu, Philipo Mulugo. #2013KidatoCha5
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hello our community introductions to Jamiiforum
0 Reactions
2 Replies
647 Views
Salamu wana jf nahitaji msaada nifanyeje kwa sababu nimepangiwa HGE wakati nina f ya maths itakuwaje? Na je mbeleni huko iyo f ya maths haitaniletea shida yani chuo kikuu? Na je nikienda kuisoma...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari wana JF, naomba msaada kwa yeyote anayejua kuhusu (admission) ATC ARUSHA.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada kwa anayefahamu chuo tajwa hapo juu kiko wapi anisaidie.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wanajf,kimsingi natafuta tempo ya kufundisha computer ktk college yoyote hapa dar,mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma with degree program BSE ICT,naomba kuwakilisha kwenu wanajukwaa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nimetingwa hapa naomba mnisaidie kati ya hii koz ya Bachelor of Art with Eductatio ya DUCE na ile Bachelor of Art with Education ya ST.AUGUST hasa ya main campus, Je kati ya hivyo vyuo...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Naomba kujua kama post za form five zimetoka ?
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Jamaae mbona nasota selection sioni mwl. nyerere st. nitonye.
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Veneranda Malima Serikali imeongeza muda wakupeleka maombi ya mkopo Bodi ya Mikopo ya Wanafunziwa Elimu ya Juu (HESLB), kwawanafunzi watakaojiunga namwaka wa masomo wa 2013/2014. Hayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nilikua nauliza kama kuna mtu anayeifahamu shule ya kigwe high school inapatikana mkoa gani?
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Nmechaguliwa huko 4m 5, nahtaj kujua iko mahala tulivu kwa kujisomea? Ni ya bweni? Na je ni ya boyz tupu au mchanganyiko? Na vip kuhusu hali ya hewa?
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Mwenye info kuhusu requirements za kujiunga PCB Makongo/Jitegemee anisaidie
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi jaman inawezekana kweli kwa sisi form six..kurud ckul tena bila wadogo zetu wa kidato cha tano....nani atafanya usafi wa shule coz form six hana muda wa kupoteza tena akirudi ckul....!
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mwaka 1953 mchumi mashuhuri duniani, Ragnar Nurkse alitoa tafsiri ya umaskini akisema kuwa ni sawa na duara na kwamba mtu akizaliwa maskini ni rahisi kufa maskni kama hakupata nguvu ya ziada ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom