naombeni ushauri wenu Nina credit nne za civic, history, geography, na kiswahili...
je ni kozi gani nikisoma itaendana na hayo masomo coz nimeshindwa kwenda form v
bodi ya mikopo yaongeza muda wa kuomba mkopo kwa wanafunzi waliopo chuo na wanaoomba mikopo kwa mara ya kwanza.mwisho utakuwa tar 31 july 2013.chanzo bodi ya mikopo.
wana Jf na ndugu yangu amameliza form six, HGE..amepata H=D G=D E=D na Gs=F...anataka kusoma agro-business SUA, anaomba ushauri..je hii course ina lipa katika soko la ajira! je ataweza kupata...
For details visit our website Rise Study Advisors- MBBS & Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management in China. Admissions open for 2013 session...
wakuu naomba munisaidie kama m2 anajua maombi ya vyuo vya kilimo deadline yake mwisho lini na facat gan nzur kusomea na ada shilingi ngapi na vigezo katka ufauru ukoje??
Thanks!!!!
katika fomu yangu nliyotuma cheti cha kuzaliwa na cheti cha matokeo ya kidato cha nne,, havikupigwa muhuri,, naombeni msaada kwa anayejua nifanye nini ili nitume form mpya kutokana na kwamba mwezi...
hivi ni kweli kwamba tarehe ya mwisho kupokea maombi ya mikopo kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu tanzania imesogezwa toka 30/06/2013 hadi 31/07/2013 ?
Zikitoka znaanikwa kwenye website?
Ya NECTA au Wizara ya Elimu?
Nauliza hivi bcoz niko nje ya nchi hadi September na nina kidbrother kwa sasa yuko bush country anasubir selection kama atapata...
Among the problems facing Tanzania is fatalism. The nation is occupied by fatalists (high rate of dwellers)-thats why were facing the worst situation of poverty. To rescue the situation lets...
Wakuu naomba munijuze matokeo college yanatoka kwa pa1 au laa coz nimeomba vyuo vingi naogopa icje ikatoka post nikaicha na kama kuna m2 anajua vyuo vya afya wanatoa majbu mwez wa ngap?
MSAADA PLZ!!!
Habari wana jamii forum, ni matumaini yangu mambo yanenda sawia.
" Kwa taratibu ambazo zilikuwepo awali ni kwamba mtumishi wa serikali akijiendeleza kimasomo katika taaluma anayoifanyia kazi...
ndugu zangu naomba msaidie kwan nili2ma hizo fomu pasipo kuweka sahihi na tarehe kwenye sehemu ambayo inasema ka umekubaliana na mashart ya mikopo weka sahihi yako hapo chn na tarehe. Nahofia...
Nashindwa kuelewa ni kitu gani kilifanyiwa mabadiliko ktk mitihani ya kidato cha nne. Nilisikia awali grading zilikuwa mpya so watarudisha grading za zamani, swali, Je mtu mwenye four ya 27 kwa...
For details visit our website Rise Study Advisors- MBBS & Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management in China. Admissions open for 2013 session...
Nahitaji kufahamu mahali napoweza kusoma short coarse inayohusiana na taaluma ya E-PROCUREMENT kwa hapa Tanzania itapendeza pia nikifahamishwa vyuo vinavyofundisha taaluma hii nje ya nchi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.