Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Nina dogo kafanya mtihani kama pc kapata div 3 points 15 yaani gs F History D English D Kiswahili F je atapata chuo ngazi ya degree au aombe diploma.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nawapongeza walimu wa Mbeya kwani wameonyesha mshikamano na ujasiri wa hali ya juu kwa kwenda kumkabili mwajiri wao kudai haki zao. (chanzo: ITV taarifa ya habari leo saa mbili usiku). Jinsi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kila siku zimekuwa zikijitokeza msg znazotumwa kwa walimu juu ya kaz na mishahara yao lakini huwa si kweli. Kwa sasa zinatumwa msg zikionyesha kuwa kuna waraka utakaoanza kutumika 01/07/2013 juu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mwenye waraka wa mishahara mipya ya watumishi wa umma aweke.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Shule ya sekondari kizomla iliyoko kata ya mkamba wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,ina wanafunzi wawili tu wa kidato cha tatu,Shule hiyi iliyoko umbali wa takribani km 80 hivi kutoka mkoa wa Dar...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu, natafuta shule ya sekondari kwa mtoto wa kike, ambayo wanafunza maadili mema na kusaidia kurekebisha tabia. Naomba msaada kwa mwenye kujua shule za namna kama zipo Tanzania. Imekuwa...
0 Reactions
6 Replies
10K Views
Kwa muda mrefu hapa nchini tumekuwa tukimtafuta mchawi ni nani anayeharibu ustawi wa wanafunzi wa elimu ya juu hapa nchini (hasa wa kike),lakini kwa kipindi hiki kifupi tangu nilipofika hapa...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Wakuu msaada kwa anayejua course hyo inahusiana na nini na pia hatma yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna tetesi kua wizara ya elimu itawachukua hata wale ambao wana D kwenda form five je kuna ukweli wowote juu wa hili?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwakweli nchii tunakokwenda ni ajabu............ukianzia TCU namba za simu Zilizowekwa ili mtu awasiliane nao ni kwamba zote tunaambiwa hazipo. Hilo moja namba ya HESLB (Phone 255-22-2669036/7)...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
To any one with an understanding on The List of Commercial Banks in Tanzania Since Independency to date "IN FIGURES" (i.e. Since 1961 - 2012 in figures) could he/she help me to list them...
0 Reactions
1 Replies
853 Views
Leo HESLB wametoa taarifa kwa Umma juu ya idadi ya waombaji wa mikopo kama ilivyoandikwa hapa chini: UTANGULIZI: Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawafahamisha waombaji wa mikopo...
2 Reactions
22 Replies
12K Views
NDUGU ZANGU WANAJAMII Nifundisheni jinsi ya kutumia MULTMEDIA MASSEGING SERVICE "MMS"
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wajumbe mimi nimemaliza form six mwaka jana niliaplay mkopo nkapata lakin kdogo mno yan ada siku pewa kabisa and nilsoma sayans sasa nlikuwa naulza naweza nka appeal mwaka huu baada ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jamani anaelifahamu hili kabila na tabia zao naombeni info plz
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eti kuna yeyote aliyeona selection za wanafunzi wa kidato cha nne nimesikia zimetoka
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani nahitaji tofauti za hizo cozi.. na ipi ni nzuri sana zaidi ya nyingine!!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanafunzi wanaochukua degree za Engineering toka D.I.T inaaminika wako nondo kwa suala zima la practical, ukilinganisha na wanafunzi toka vyuo vingine vya serikali ikiwemo UDSM ambao inaaminika...
0 Reactions
241 Replies
23K Views
Habari za leo Wakuu! Naomba kufahamu naweza kupata wapi kitabu cha "Juma na Roza" ili watoto wangu nao wafaidi hadithi zake. Nipo Dar kwa sasa. Jumapili njema.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
For details visit our website Rise Study Advisors- MBBS & Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management in China. Admissions open for 2013 session...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Back
Top Bottom