Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

For details visit our website Rise Study Advisors- MBBS & Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management in China. Admissions open for 2013 session...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
Naomba kujua kulingana na matokeo ya mwaka huu vijana wengi hawajafikisha cut-offs za 4.5 je unaweza kuchukuliwa kwenye chuo vyenye uhitaji huo(4.5) ukiwa na pungufu ya hizo mfano una 3.5 naomba...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
leo mida kama ya saa11 JION nmejaribu kuingia katika mtandao wa tcu nimeshaa kuona nmechagulia vyuo vipya na mipango mipya kabisa..nlifikiri tatizo ni langu peke yangu lakini nlipojaribu kuuliza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
If someone is in need of being a lecturer, what are the steps he/she is required to follow...? Including what fuculty in university level one is required to take...? Pliz help...!!
0 Reactions
6 Replies
990 Views
Jamani wazoefu msaada kidogo...nimetembelea profile yangu ya TCU leo karibu nizimiee.... Nimekuta selection zangu zote zimevurugwa vurugwa na nimewekewa mpya..mbaya zaidi hizo mpya zenyewe...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za Kuaminika ni kwamba kulikuwa na matengezezo kwenye Mitambo yao (SEVERS); ambayo yalipelekea kubadilika kwa Programm za waombaji na kwamba hilo halikuwa ni tatizo bali ilikuwa ni zoezi la...
1 Reactions
3 Replies
900 Views
wadau nina chem C bios. C geogr D bam. S gs. F na mimeachwa kwa jkt najiuliza maswali ambayo majibu yake siyaoni! au CBG nayo comb ya art?
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Shule ya Itende High School, jijini Mbeya ina tangaza nafasi kwa wanaotaka kurudia mitihani yao ya kidato cha NNE 2013 (SAYANSI NA ARTS) kuwa tumeanza kuandikisha, nafasi zipo! PROGRAMU NI KAMA...
0 Reactions
50 Replies
11K Views
https://www.khanacademy.org/about
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Wadogozetu walomaliza kidato cha sita wamekwenda jeshini JKT laKini serikali haikutangaza wanatakiwa waende na nini huko jambo ambalo linawalazimu kujinunulua vitu vyakutumia na kama huna ndo...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
inawezekanaje kuna siri gani , kwa sabb gani, hawataki nani asijue? wanataka wananchi wasijue nini, haya mamo yanaashiria nini, ni ethics za wapi kuficha kiwango kipya cha mshahara, ndio njia ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wizara ya elimu kwa sasa inao mpango wa kushusha alama za kufaulu kwa wananafunzi wanaomaliza kidato cha nne. Naibu waziri wa elimu Philipo Mulugo alisema kuwa wizara inaangalia utaratibu mpya...
0 Reactions
33 Replies
10K Views
Ningependa kujua kuhusu Bodi ya Mikopo kwa Darasa la saba kujiunga na chuo kikuu moja kwa moja. Je watawekwa nao na kupata mikopo?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
HABARI ZILIZOJIRI HIVI PUNDE kuwa wahadhiri katika chuo kikuu cha TEKU wameongoza mgomo baada ya kuendeshwa kidikteta na uongozi wa chuo hii imetokana na kufungwa chuo bila wataaluma wa chuo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam Waheshimiwa,,...kama kuna yoyote mjuzi au mwenye ufaham zaidi juu ya suala zima la kuwasaidia hawa watoto namna ya ujazaji wao wa mkopo via internet atoe namba yake,,....atalipwa awajazie...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
HALI si Shwari Ndani ya Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) baada ya Uongozi wa Chama cha Wahadhili wa Chuo hicho (TEKUASA) na wanachama wake kutangaza mgomo wa kutotunga mitihani ya kufungia...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu! Naomba kupatiwa ufafanuzi juu ya program gani itakuwa na future nzuri kati ya hizo nilizozitaja hapo juu. Bwana Mdogo kaniomba ushauri juu ya program ipi kati ya hizo tajwa hapo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
kuna utaratibu kwamba endapo utapoteza cheti chako cha kidato cha nne au cha sita haijalishi ni kwa namna gani iwe kuibiwa,kuunguliwa, kudondosha, kwenye ajali hata uje na evidence gani hutapatiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nafikiria mpaka nataka kupasuka kichwa cjui nichague ipi bandugu wa JF Msaada please
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom