Jamani Wa Wana Jf Nina Mdogo Angu Kapata Ziro Form Four Sa Nataka Arudie Shule Hv Akirudia Form 3, Si Kuna Uwezekano akaja Fanya Vzr Au Mpaka Aanzie Fom 2?
nimepata habari kuwa na wale waliohitimu vyuo vya ualimu mwaka huu 2013
watafuata kwenda kambini(jeshini) baada ya hawa form 6,
JE KUNA UKWELI KATIKA HILO?
mi nimemalza form 6 ECA na kugpata econ c,acount c ,comm d,bam s.mi napenda sana kuwa economist pia accountant,lakn inabidi nchague kimoja,sasa naomba msaada kozi ipi nzuri na itanitoa kati ya...
A certain secondary school in one of the Tanzania's regions is looking for a good Chemistry teacher.
The school is one of the best in the nation and it is pure A-level.If you possess the...
Habar zenu wana JF nauliza maana niko njia panda na mambo ya TCU,hvi mtu aliyesoma HUMAN RESOURCES MANAGEMENT AMA SOCIAL WORK anaweza kufamya kaz zipi?
kuna tetes zimezagaa kitaa eti kuna awamu nyingine ya kwenda jkt baada ya kurud hawa wanaoingia tareh 24 mwez huu na awamu hiyo itaingia jkt mwez wa kumi mwanzon had wa 12 mwishoni afu chuo...
Kwa miaka ming imezoeleka m2 kusoma o level kwa miaka minne halaf a level kwa miaka 2,lakn kwa dunia yetu ya sasa ambayo inahtaj wa2 wenye ujuz kulko maneno meng ni vema kujiunga na technical...
Hii nyeti nimeipata kutoka kwa mzee wa jikoni so kama hujapata bahati ya kwenda jkt kuingia udsm muhimbili,sua mzumbe udom nelson mandela,must sahau kabisa maana wanataka watu wazalendo tu
Babu gamba mstaafu aliyejiweka pembeni ameamua kusema kuwa natoa yaliyo moyoni mwake juu ya mfumo mbovu wa elimu tuliona nao hapa nchini kwetu na yeye anasema kuwa anaomba kushirikiana nasi katika...
Hii ni taarifa Kwa wale ndg zangu wooote waliokuwa wakisubiri fursa za kuomba nafasi za mafunzo ya Ualimu Kwa ngazi ya A-Stashahada (Certificate) na Shahada (Diploma) hususani katika vyuo vya...
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. We are representing top ranking Government...
Amani
iwe nanyi,tafadhali kwa yeyote anaye jua baada ya mwalimu kuandika
barua ya kuomba kuhama mkoa ni hatua zipi zinafuata hadi kufanikiwa
kupata uhamisho huo?na nisababu zipi zinafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.