Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

TANGAZO MKUU WA JKT MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAWAITA VIJANA 10,849 WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2013 KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KAMA IFUATAVYO:- 1. VIJANA WOTE...
6 Reactions
79 Replies
17K Views
Hivi Engineering Degree at Water Development and Management Institute-Dar es Salaam ina Loan? Maana naona ni Priority lakin hakuna kiasi kilichoonyeshwa pale. MSAADA Plz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
4m4 waliopass kwenda 4m5 shule zinapangwa lini kwa anaejua?na tunaenda lini shule?
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Kituo cha mitihani kidato cha sita punguzo la 50% call 0763473956
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa kuhusiana na hii koz unafanya kazi zip? na je kuna uwezekano wa kujiajiri.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Poleni na majukumu ya hapa na pale wanajf wenzangu................. Ni hivi naombeni kujuzwa gharama za kununua usukani mpya wa bajaji(TVS) uliokamilika na wapi unapatikana kwa dar au dodoma...
0 Reactions
4 Replies
889 Views
Habari zenu wana JF.Naomba kujuzwa, hivi mtu akisoma Bachelor of civil engineering anaweza kuajiriwa katika kazi zipi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sifa za mtu anayefaa kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika. 132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika endapo atakuwa na sifa zifuatazo- (a) angalau awe na elimu ya Chuo...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Haki ya elimu na kujifunza 41.-(1) Kila mtu ana haki ya: (a) kupata fursa ya kupata elimu bila ya vikwazo; ‐ 18 ‐ (b)kupata elimu bora ya msingi bila ya malipo na inayomtayarisha...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Please visit our website for details Rise Study Advisors- MBBS & Engineering in China Government Universities, scholarships for limited seats only. Contact Dr. Zaman Naqvi 008613219363449...
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Poleni na majukumu ya hapa na pale wanajf wenzangu................. Ni hivi naombeni kujuzwa gharama za usukani wa bajaji(TVS) na wapi zinapatikana kwa dar au dodoma. Vilevile mawasiliano kama...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Wadau kozi gani kati ya hizo yenye uhakika wa ajira naombeni ushauri kabla sijafanya uamuzi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
:yell:Jana nlikua Naangalia F6 Mmmoja anomba chuo Msumbiji na pia Ukiangalia ana PCB ..EEE.Sasa nashangaa Sana Kuona anaomba Fucult of Medicine.Nyie Form 6 Someni Guide Book Kwanza uangalie Vigezo...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
naombeni msaada kwa anayefahamu kwa sababu nimekuwa nikipiga sim kuongea na mkuu wa chuo nilichoomba lakini kwa line yangu ya tigo wananiambia kuwa niangalie vizuri number yangu kisha nipige tena...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TANGAZO MKUU WA JKT MEJA JENERALI RAPHAEL MUHUGA ANAWAITA VIJANA 10,849 WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA 2013 KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA KAMA IFUATAVYO:- 1. VIJANA WOTE WALIOHITIMU...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
TCU ndio chombo kinachohusika kwa sasa kuchagua wanafunzi wote wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu hapa nchini kupitia mfumo rasmi unaoitwa CAS. Kwa utaratibu uliowekwa kwa sasa, ina maana hakuna...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Je umekata tamaa na kusoma ipo nafasi ya pili kwa wale wote wanaotaka kurudia mtihani wa kidato cha nne na sita na wale wote wanaotaka kujiendeleza kimasomo sasa lipo tumaini fika kituoni kwetu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wote wanaorudia mitihani ya kidato cha nne na sita na wale watu wote wenye malengo ya kujiendeleza kielimu fika kituoni kwenu bei zetu ni nafuu kwa watakao wahi watapatiwa punguzo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow wanajamii forum,mimi ni mhitimu wa form four mwaka jana nimepata div four 26 nina BIOLOGY-C, PHYISC-D, CHEMISTRY-C, B/MATH-D, GEOGRAPH-D, KISWAHILI-D, CIVICS-D ,ENGLISH-D na...
0 Reactions
1 Replies
913 Views
nyie madogo mnaotaka kuomba vyuo mwaka huu kueni makini,hiki chuo chakata(UDOM) nibalaa,mikopo wanaiba sana,wenzangu namm nyumbani kweupe nakama mnacutt off pts nzuri ombeni tu vyuo vingine,hili...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom