Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwanza namshukuru MUNGU wa mbinguni kwa kuwa mwaminifu kwetu tangu wakati wa kuanza mchakato wa uchaguzi hadi kupatikana kwa ushindi. Lakini pia niwashukuru wanafunzi wote waliotupigia kura na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
kwanza niseme hellow kwa members wote wa Jamii forum,baada ya hapo ningeanza ku express kile ambacho kimenivuta kuandika ktk suala zima ni wapi elimu yetu inakoelekea.Mwanzo wa miaka ya sitini...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Habar wana jf Naomba kwa anayefahamu namna ya kujiunga na faculty hyo hapo juu ukiwa na Course yoyote ya afya ktk chuo cha Mzumbe University,hasa kwa Clinical Assistant(CA).
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fikra za mtu huendelea kuzunguka katika ubongo kila siku kutokana na aliyoyaona, kuyasikia na mengineyo. Na kuna fikra ambazo hujitengeneza zenyewe katika akili ya mwanadamu, na hii inatokana na...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Kwa heshima naomba msaada wa kunijulisha haya yafuatayo:- Nimepata mfadhili kanambia nichague kozi ninayotaka atanisomesha ndani ya Tanzania mimi elimu yangu ni O level nina C 2 Suali langu jee...
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Kwa anaehitaji kadi ya tcu nauza kwa bei ya efu arobaini mimi nilinunua elfu hamsini
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakati nasahihisha mtihani ya watoto ninaowafundisha wa kidato cha pili,nkakutana na mtihani wa kijana aliyeingizwa kidato cha kwanza akiwa hajui hata baba kwa kiingereza ni nn. mtoto huyo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tawi la CHASO chuo kikuu cha Tumaini Tanga jana jioni katika kikao serious walimtoa madarakani katibu wao mwenezi baada ya kuingia mkataba na ccm kuhakikisha analizorotesha tawi hilo. Tazama tangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf naomba kuuliza hv kwa kule st.john dodoma kukaa hostel na kupanga ipi inakuwa nafuu. Ninampango wa kwenda kule na je hostel haziwah kujaa kwakuwa naenda diploma na wengine wameripot tayar...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi ni mwl wa idara ya sekondari wilaya ya muheza natafuta mwl wakubadirishana nae kituo cha kazi awe anatoka kibaha au dar es salaam sim.0718547517
0 Reactions
2 Replies
904 Views
Manispaa ya Songea ime jaa ufisadi wa hali ya juu,ambapo watendaji wake wanafanya hujuma kwa walimu wa sayansi ambao walitakiwa kuwa na semina ya kuongeza ufanisi katika taaluma yao ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Plz jaman mwenye soft copy za notice za stage V i mean PV za bodi ya procurement anisaidie.... Plz forward to dmagoti09@gmail.com Plz help.....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikusikiliza jana unlipokuwa unachangia hotuba ya wizara ya mambo ya vijana michezo na utamaduni, huku ukiwaponda wanamziki wa kisasi kipya. Katika mchango wako kilichoniudhi ni kitendo cha...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
I am offering one (tuition free) scholarship for an interested person to study Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology or Bachelor of Business Administration at the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Deodatus Balile unaandaa vipindi vizuri na unapata wachangiaji wazuri ila wanapokuwa wakitiririka unawakatiza na kuchomeka maswali yasiyoendana na anachoongea mchangiaji, tafadhali kaka! Mfano ni...
0 Reactions
1 Replies
998 Views
Wazee wa Aza boy mpoo? Hebu leteni stori wajameni tukumbuke tulipotoka!. ngoja mi nianze na stori za yule ticha anaitwa "mchwa". siku moja mchwa alimkuta jamaa anavuta bangi, kuona vile Mchwa...
0 Reactions
95 Replies
14K Views
wakuu naomba msaada wa taarifa juu ya bajeti ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi inawasilishwa lini?????????? MAANA KUNA TETESI KUWA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA CHA SITA 2013 YATATOLEWA...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana Jf wote , mimi nimepitai taarifa ya tume iliyo undwa na waziri Mkuu kuchunguza matokeo mabaya ya mitihani ya taifa ya kidato cha nne mwaka 2010,ambayo serikali imeamua kuificha na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
I am offering one (tuition free) scholarship for an interested person to study Bachelor of Science in Computer Engineering and Information Technology or Bachelor of Business Administration at the...
2 Reactions
2 Replies
5K Views
je ni kweli boom litapandishwa mwakani kutoka sh 7500 mpaka sh 9750/= napenda kujua tafadhali
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom