Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

nilipongeze hili jukwaa kwa kuwa moja ya kichocheo cha maendeleo yetu.hakuna anayependa ku fail ila uwezo ndo unatufanya tushindwe kufikia mapenzi yetu.kuna mdogo wangu anatupa headache familia...
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Katika kuhakikisha elimu inapolomoka ili angalau kila anayesoma afanane naye yafuatayo ndo kaagiza watendaji wake wayafanye. 1. Walimu wanafunzi wa diploma na cheti, mwanzoni waliamuliwa mwaka wa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Hellow Great thinkers..! If any one need to be trained on how to design website using joomla or need a website(joomla website) let you send PM to me or email me via jumlacms@gmail.com so as we...
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Habari wadau?,natumaini pasaka ilikuwa njema.,pia nachukua fursa hii kupeana pole kwa majanga yanayotukuta watanzania(eee Mungu utusamehe). Ok nimekuja kuchota hekima na busara kama ilivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wenzangu na mm tulio kwenye Professional ya Uhasibu na uko na malengo ya kufanya mitihani ya NBAA hatua yoyote,hii taarifa inatuhusu sana!! Ni kua Syllabus mpya tuliyokua tunaisubilia...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wana jamvi hebu nijuzeni kwa sasa chuo cha madini Dodoma kwa ngazi ya cheti muda wa masomo/kozi ni semister ngapi? Na ngazi ya diploma muda wa kozi ni semister ngapi?
1 Reactions
0 Replies
9K Views
Kwa wale wenzangu na mm tulio kwenye Professional ya Uhasibu na uko na malengo ya kufanya mitihani ya NBAA hatua yoyote,hii taarifa inatuhusu sana!! Ni kua Syllabus mpya tuliyokua tunaisubilia...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Mwalimu alitoa chemsha bongo darasani "Laiti jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa Ijumaa" Mwalimu aliyasema maneno haya siku gani? Naomba mnipe jibu wanajf.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimezama katika MV KIDATO CHA NNE 2012 iliyozamishwa na Captain mbovu SHUKURU KAWAMBWA na msaidizi wake aliyegushi leseni ya Ukepten MULUGO aka HASHIM HAMIMU. Nimehitimu kidato cha nne mwaka jana...
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Jamani wadau nimekuwa nikijiuliza mara zote kwa nini sisi waislamu huwa katika sala zetu tunasisitizwa kumuombea mtume kwenda peponi badala ya yeye kutuombea?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
data processing can be performed in 3 approaches manually, mechanical and electronically.manual and electronic data processing approachers have remain popular but mechanical data processing is...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimesikia kupitia redio moja ya Mkoani Iringa (bila kukosea ni Ebony FM) ya kwamba Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetoa fomu za kurudia Mtihani wa Kidato cha Nne - 2012 kwa wanafunzi...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mimi ni mojawapo ya wanafunzi niliofanya mtihani wa form 4 na kufaulu na III=25 Civ-D Hist-C Geog-C Engl-C Kisw-C Biol-D na Maths-FKwa yeyote mwenye moyo wa kutoa msaada naombeni anisaidie hata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hello wana Jf Kama title yangu hapo juu inavyosema, nimekitafuta sana hicho kitabu bila mafanikio yeyote mwenye information kuhusu mahala naweza kukipata anisaidie.Pia riwaya za B.Mtobwa nazo...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ndiye alikuwa anasimamia lile jengo lililoanguka juzi posta kweli udsm kinaliingizia taifa hasara sana
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Habari za humu ndan jaman,mi naulizia je ni utaratibu upi unatumika kwa wale ambao wamehairisha mwaka wa masomo chuo na wanataka kuingia chuo mwaka huu?Nahitaji msaada wenu kwa yoyote anayejua
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tangazo la kujiunga na kozi za afya muhimbili ila Waombaji ni wale walohitim ndan ya miaka 3.Je nasis wa 2009 tunahuska?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eti nasikia mwaka huu kwakua watu wachache wamefaulu mtihani wa kidato cha nne kwahyo hakuna atakayechaguliwa kujiunga na chuo cha ufundi inawaje alichagua na wote watapelekwa form 5 je hili lina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tunaomba kujua mtaala ya elimu huandaliwa kwa vigezo gani ili na wanafunzi nao wajue ili waende na mfumo vizuri maana mtaala unawaacha wanafunzi nyuma
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…