Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
Asalaam wana JF.
Naomba mwenye CV ya mbunge wa RORYA Mhe,Lameck Okambo Airo anisaidie kuiweka hapa tafadhali.Nimelazimika kuomba cv ya mheshimiwa huyu kutokana sababu kuwa hajawahi kuchangia...
Nna mdogo wangu kapata matokeo yafuatayo
IV point 28
civ D
kisw C
eng D
biol D
chem D
geo F
hist D
maths F
Tunataka kumpeleka chuo cha afya maana amesema anaprefer hicho kuliko ualimu. Naomba...
katika hali ya kushangaza kila ukiingia jf jukwaa la elimu utakuta mara huyo kaweka vyuo top 5 ya afrika, mara huyu anasema chuo cha kata, mara huyu anasema chuo kikubwa afrika mashariki na...
National Examination Council of Tanzania (N.E.C.T.A) MADARAJA MAPYA KWA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE:
Serikali kwa kupitia wizara ya elimu imefanya mabadiliko kwenye madaraja ya alama za mitihani...
Mkuu wa wilayaji na itapelekwa kwa mkuu wa wilaya ili isaidie gharama za malipo shulen. je Hii siyo KUTAFUNA HELA ZA wananchi nje nje
Kuna mantiki gani mkuu wa wilaya kuzuia wazazi kuchangia...
Ndg waalimu naimani mu-wazma wa afya! Habari za uhakika nilizonazo ni kuwa kwa waalimu wote tulioajiriwa mwezi march mwaka huu wilayani Magu waalimu watakaopata mishahara ya mwezi huu hawazidi 20...
Jumuiya ya Wanafunzi wanachama wa CHADEMA Chuo Kikuu Kishirika cha Jordan (CHASO) Morogoro imepata viongozi wapya katika uchaguzi uliofanyika leo katika Hotel ya The MARBLE INN mjini Morogoro...
Habari wadau., naomba kuuliza kwa wanaojua lini application ztafanyika maana nmejitahdi kufuatilia kwenye website za vyuo mbalimbali kama UDOM na Mzumbe,ila hakuna taarifa zozote kuhusu hili. UDSM...
Habari zenu wadau? kuna mtu anafaham hizi bachelo degree zenye hons zinavyopatikana? ni kwa sifa zipi mwanazuoni ana qualify kupewa hizi bachelor zenye hons?? k.v LLB(hons.), BBA(hons.) n.k
Habari wadau., naomba kuuliza kwa wanaojua lini application ztafanyika maana nmejitahdi kufuatilia kwenye website za vyuo mbalimbali kama UDOM na Mzumbe,ila hakuna taarifa zozote kuhusu hili. UDSM...
kwa waliomaliza kidato cha nne au wanaowajua wamemaliza kidato cha nne.kuna nafasi ya kozi za medical assistant na health record diploma na certificates. Kwa maelezo zaidi tembelea: www.tihest.org
chuo cha Tandabui Institute of Health science and Technology (TIHEST) kimetangaza nafasi za masomo ya clinical officer na medical records. Tembelea tovuti yao kwa maelezo zaidiz: www.tihest.org
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.