Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani kama mnavyojua matokeo ya kidato cha nne hayakuwa mazuri kwa wadogo zetu.Nimeamua mdogo wangu asome certificate na baadaye tafanya dip na kuendelea badala ya kulist.Sasa naomba ushauri kozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar wana jf mimi ni mhitimu wa Diploma ya mifugo(Lita-madaba) 2012 na nataka kuendelea na masomo lakini kilichonishtua ni kuwa eti bodi haitoi mkopo kwa diploma ila yule atakae soma health...
0 Reactions
0 Replies
941 Views
Dear Brother at Jamii forum, I am looking for public universities/colleges of health science that offer a diploma and certificate programs in medical laboratory science and technology,clinical...
0 Reactions
3 Replies
999 Views
Kwa majina naitwa STEVEN PETER SAMSON, yaani STEVEN jina langu, PETER jina la baba, na SAMSON jina la babu. Shuleni naitwa STEVEN SAMSON PETER, yaani STEVEN(first name) SAMSON(S.) (initial/middle...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wakubwa i think mko good at al kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwalimu akionyesha mfano wa choo unavyoonekana katika moja ya shule za msingi nchini KWA UFUPI Wanafunzi hao ni kati ya wengine maelfu nchini ambao kila siku wanalazimika kupanga foleni, kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Jaman Wadau humu ndani, wanaoelewa hili,Hivi pass inayoongelewa na vyuo kuhusu certificate course,ni D au C,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina 4 ya 27 math f nina penda kusoma DIT sijukama maksi yangu inafaa kama inafaa naombeni nichagulieni coz pamoja na kunijulisha gharama ili niangalie uchumi wangu naombeni nisaidieni?
0 Reactions
1 Replies
667 Views
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
0 Replies
654 Views
Mimi ni mwalim wa shule ya msingi nipo mkoa wa SHINYANGA wilaya ya KISHAPU natafuta mwl wa kubadilishana nae toka wilaya ya serenget mkoa wa Mara kuja wilaya ya kishapu aliye tayari aniPM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya ni mazingira niliyofundisha miaka m4,Kulikua hakuna gari inayofika AKA Basi ila nilipoomba kusoma nikahamishwa fasta na wakati huo ruhusa ya kusoma nimepata.Na mimi Chuo nimepata mwezi wa10...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Thursday March 21st 2013Na Kunze Mswanyama,Bagamoyo KATIKA hali ya kushangaza,mwalimu mmoja wa shule ya sekondari ya Dunda iliyopo Bagamoyo,ameitaka kamati ya Katiba,Sheria na Utawala kuondoka na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mdogo wangu anahitaj xana msaada kujua kt ya technical eduction na A level wapi aende na ana III 23
0 Reactions
15 Replies
4K Views
kama kuna mtu anazijua shule zinazomilikiwa na umoja wa wazazi ccm anitajie mana najua zipo 71 sema sizijui naomba msaada wenu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kama kuna mtu anayezijua shule zinazomilikiwa na jumuiya ya wazazi wa ccm anitajie kwa majina
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Wadau, nina ndugu yangu alisomea ualimu Marangu T.T.C na kuhitimu mwaka 1989, aliajiriwa kuwa mwalimu wa shule ya msingi grade A, baada ya muda alijiendeleza na kusoma diploma ya ualimu na akawa...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
binafsi tangia primary na o level shule nlizosoma tulikua hatujui viboko ila a level hali ikawa ndivyo sivyn nlienda shule inaitwa sangu sio siri walimu wakikushushia mvua utasema wanafanyia sifa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Salaam wana Jamii. naomba msaada wenu,natafuta syllabus ya chemistry na Physics form two.nimempeleka mtoto wangu Canada natakiwa kupeleka syllabus za haya masomo next week ili waweze kujuwa darasa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Please Click here to enter our website for details Rise Study Advisors- MBBS and Engineering in China Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
habari wana jamvi ninaomba kuuliza kuhusu chuo cha DIT je wanatoa certificate na minimum entry requirement ni zipi wanaanza lini pamaja na fees zao.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom