Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tanzania International University (TIU) is offering access programme to form four and form six leavers. The programme aims at upgrading the academic status of both levels to enable students to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mwenzenu nipo ubungo hapa nataka kwenda st. joseph university..nimeambiwa kipo kimara lakini sijui nishuke kituo gani huko kimara au sijui mbezi..naombeni mnisaidie
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Hii ni ajabu kweli kweli kwa nchi inayotafuta wataalamu katika kada mbalimbali!!hebu angalia maajabu ya badhi ya wizara zetu hapa nchini,zinatangaza nafasi za kujiunga na masomo katika madaraja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SABABU ZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE KUWA MABAYA NI HIZI HAPA: Shule za sekondari kuhamishiwa TAMISEMI. Watendaji wa Tamisemi badala ya kusimamia taaluma mashuleni, wanasumbua na kuharibu taaluma...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
sm stuations they frustuating and irritating to like fragyl tabs , nothing u can do about it and u have always hve this feeling of kuwa sikuzote huwa unavutwa vutwa 2 kufanya vitu vingine hata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wana jf ...nataman kufanya kazi ktk ofisi za TAKWIMU TANZANIA...na mimi nasomea BA in economics.....je kunauwezekano wakuja kufanya kazi katika hizo ofisi baada yakukamilisha masomo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania yetu80%Watu huishi vijijini,Watumishi hasa waalimu wanapopangiwa mfano Lindi,Mtwara,Kigoma,Rukwa,Shinyanga,Mara,Ruvuma,Singida na maeneo mengi ambayo sijataja,Unadhani kwanini watu wapo...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Pamoja na kuonekana kuwa serikali imeandaa hadidu za rejea, serikali inaonekana inasisitiza zaidi kuichunguza zaidi NECTA. Naona amesisitiza zaidi utungaji, usahihishaji na uhalisia wa mitihani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Matokeo yamekua mabaya,yamezunguzwa mengi,toa maoni yako kama mdau tuweze kuwasaidia wanafunzi na Tulikomboe Taifa,maoni yote yatapelekwa Wizarani kuboresha.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Study MBBS, BDS (Dentistry), Engineering, Business Management, Nursing etc, in China. Admissions open for 2013 session. Scholarships available for limited seats only. Contact us for scholarship...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Nasema mpaka 2015 Tanzania na watanzania watakuwa wamenyooka. Yaani kaanza na elimu kwa kuthibiti mianya yote ya kuvuja mitihani, unaona sasa kiama cha wanafunzi kufeli. Ingawa pia na vijana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Good morning Sir, Pliz my name is ************ I am finish fom for. Ze everybody is to say we get za divishen 0, My part I am saying not I am not get divshen 0. I am vere vere intelijens, but...
9 Reactions
26 Replies
3K Views
Binafsi huwa napata sana shida kubaini uwezo wa hawa watawala wetu kifikra katika kutatua matatizo mbalimbali yanayoikabili jamii yetu. Kwa hivi sasa taifa letu limekumbwa na tatizo kubwa la...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WAKATI wananchi wakisubiri kutangazwa na kuundwa kwa tume ya kuchunguza chanzo cha wanafunzi wa kidato cha nne kufeli, Kaimu Katibu wa Mufti Zanzibar, Sheikh Thabit Noman Jongo, amesema chanzo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NINASHANGAA NCHI YETU INA2MIA NOTI ZA AINA MBILI KWA ZAIDI YA MIAKA MIWILI NA HAKUNA UFAFANUZI WALA SABABU ZILIZOTOLEWA. ETI, HAYA SI MAUJANJA YA WANASIASA KWELI???? NAONA KAMA NI KUBADILISHWA KWA...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Kwa kumbukumbu zangu kama sijakosea, ni zaidi ya miaka miwili sasa imepita huku nchi yetu, Tanzania ikiwaa inatumia noti pesa za aina mbili. yaani kuna noti kubwa na ndogo, mbili tofauti tofauti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata 4 ya 26 inamaanisha uwezo wa kuenda Form 5 upo ila tu itabidi nitafute credit moja.... Hebu nishauri nitafute credit au niende chuo??
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni muda sasa nimesikia kuhusu hiki chuo kipya cha kilimo cha katavi. Naomba kujua mambo yafuatayo: udahili wa wanafunzi ulishaanza? vipi kuhusu ajira za wahadhiri? naomba waliopo karibu wanipe...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
hv mwalimu kupanda daraja mpaka awapigie magoti?hamjui wajibu wenu?alafu mtu kapanda daraja 2010 leo 2012 ndo afisa elim anataka takwim za waliopanda daraja 2010 lkn mishahara haikubadilika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana Jf hamjambo? Asanteni kwa ukaribisho. Jaman ile tume ya kuchunguza sababu za wanafunzi kufeli mwaka 2010 majibu yake yalifanyiwa kazi au ilikuwa usanii
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…