hello,, hope mko poa humu..
nahitaji mawazo yenu
hivi katika hizi degree tatu
1. Barchellor ya IT
2. barchellor ya business administration
3. barchellor ya procurement and supply
je ni ipi bora...
Nimemwangaliwa waziri wa Elimu wa Kenya akitangaza matokeo ya KCSE muda mchache uliopita kupitia Citizen Tv. Kwanza alitanza amejiamini, ana furaha, anapigiwa makofi. Amesema kuwa kiwango cha...
Jana katika malumbano ya hoja ITV nilidaka Point kuwa,japo form6 wamefanya mitihani yao ila mtaala ulibadilishwa na walimu hawakua na semina,je matokeo yakiwa kama form4,TCU Watapata wapi...
this is pure politics, imagine waliomaliza form six 2012, baadhi yao wanaripoti JKT wiki ijayo, sasa na wao wakitengeneza 0 za kuvunja rekodi watakimbia au watadumisha uzalendo kwa nchi yetu...
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa ufaulu (Division 1-3) wa kidato cha nne umekuwa ukishuka kutoka asilimia 26 mwaka 2006; 17.85% mwaka 2009; 11% mwaka 2010; 9.98% mwaka 2011 na mwaka 2012 ni 5.16%. Kwa...
Ndugu zangu wadau naomba kujuzwa shule nzur kwa ajir ya wasichana iwe ya boarding na combination za science ,kuna kijana wangu nataka nimtafutie shule amefaulu masomo ya science amepata div...
Kwenye vyombo mbalimbali vya habari niliona maandalizi ya kutoa tuzo ya walimu walio fanya vizuri kitaifa. Je kutokana na matokeo ya mwaka huu kuna haja ya kutoa hizo tuzo?. kwangu mimi naona kama...
Ninaangalia citizen tv wanatoa matokeo ya kenya na shule ya kwanza kitaifa ni moi high school, je majina yanapotumika ktk shule kunajitihada za muhusika kuendelea kuona jina lake halitumiwi kwa...
Jaman matokeo yameniacha vibaya na sitaki kuludia shule,naweza kusoma nini na matokeo yangu ni division four point 33,naomba ushauri maana nahisi kukata tamaa.
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, amesema wizara haina mpango wowote kwa sasa kuhusiana na wanafunzi waliofeli kidato cha nne mpaka pale Tume itakapomaliza kufanya kazi...
Habari za kazi,Shule,kulala nk
Jamaniiiiiiiiii naombeni msaada kuhusu namna ya kupata centre ya kurudia mitihani aw kidato cha nne(wale wa division 0).....Nimeenda makongo nikaambiwa elfu kumi na...
Ndugu wanaJF,
Kuna watu wamepewa hela na kuzunguka kwenye Vijiwe na kwenye Daladala Kazi yao kubwa imekuwa ni kuwaponda Waalimu na Wanafunzi kwenye swala hili la Matokeo ya form four kuwa mabaya...
Tume
itakayo mhoji mwalimu eti kwa sbb wanafunz wamefeli itakuwa imekosea
kabisa,
Wakuu wa shule weng nchn ni maadui kwa walimu wao, maana wanamtumikia
bwana
Serikali ni ya mungu...