Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

upo class unafundisha geo mada ni rotion of the earth...mwanafunz akauliza kwa hiyo kama dunia inajizungusha na sis bila shaka tunazunguka pia, lakin mbona dakika hii hapa tulipo hatuzunguki na...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Suruali/kaptura kwa wanaume, sketi kwa wanawake (kabla ya mambo ya sasa ya haki sawa hasa kwa wanawake dhidi ya wanaume)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda huu. Habari za kusikitisha kabisa ni kwamba mmoja wa wakaguzi wa ELIMU wilayani Rombo ametoa kauli chafu na ya kuudhi kama si kudhalilisha kwa kundi la Walemavu. Mkaguzi...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna hizi tetesi nimezipata muda si mrefu kuwa, kuna Mwanafunzi wa SJUT amebakwa na kufariki. Hii imekaaje wadau?
0 Reactions
56 Replies
9K Views
nashindwa kujua tatizo linalokwamisha kutangaza ajira za walimu, kama bajeti ilikwisha kupangwa, nini tatizo?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Birds don’t urinate. Ants never sleep. Also they don’t have lungs. Worker ants may live seven years and the queen may live as long as 15 years. Horses and cows sleep while standing up. If you...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanaotokea nyanda za juu kama Kilimanjaro, Upare. Usambaa, Mbeya na Highlands za kusini watakua familiar na hili tunda. Kwa kifupi matunda haya yanafananishwa na nyanya na matumizi yake ni kama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
A company operates four factories. Each makes components which are incorporated into the products sold by one or more of the other factories. To encourage a competitive environment the...
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Leo saa 2 usiku, redio one imetangaza kua mwanachuo wa mwaka wa 3 shahada ya uuguzi, St. Johns university, amebakwa na mwili wake umeokotwa asubuhi. Hivi karibuni, wanachuo wa IFM na J.K Nyerere...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viongozi wa UDOSO mnasubiri nini kujiuzulu?wanafunzi wa UDOM wanaishi bila mikopo kwa zaidi ya miezi mitatu chuoni na wakati nyie mpo??kama mmeshindwa kutatua matatizo ya wanafunzi wenu...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
katika Africa ya mashariki ni Nchi gani itakuwa inaongoza kwa mfumo mzuri wa Elimu na elimu safi? Kati ya nchi hizi Tanzania.Uganda,Burundi.Kenya na Rwanda!!
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari zenu wana memba naomba mnisaidie hili swala mim ni mwanafunz wa chuo kikuu cha mjin iringa mwaka wa 3 had sasa cjalipa ada kutokana na matatizo ya kifamilia na had sasa cjajua nin hatima...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetaja shule 24 za sekondari ambazo zitatoa wanafunzi 5,000 waliomaliza kidato cha sita watakaojiunga na jeshi hilo. Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Raphael Mahuga...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari ya asubuhi wana jf. Naomba ambaye anaweza kujua mtandao ambao unaresearch papers anisaidie. Natanguliza shukurani
0 Reactions
2 Replies
950 Views
Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Dean wa Faculty ya ICT katia chuo kimoja (sitotaja jina la chuo) alikuwa anasimulia maswaibu anayoyapata katika kazi yake. Alisema ya kwamba anahudumiua wanachuo 120, takribani 90% ya...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari wapendwa!, ni mara ya kwanza kuandika chochote mahali hapa. Kikubwa naomba kufahamishwa kwa wale wenye uzoefu. Nina Diploma in Electronics and Telecommunicatrions Engineering kwa bahati...
1 Reactions
6 Replies
39K Views
Wakuu habari za usiku,kwa wale ambao tumeajiriwa poleni na majukumu ya kila siku na wale ambao bado tunatafuta kazi tusikate tamaa MUNGU yupo na ipo siku atakusaidia utapata tu,Baada ya salam...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Poleni kwa shughuli,nahitaji msaada wa vyuo vya ualimu wa diploma,vyuo vya serikali,na wanaanza kuapply mwezi wangapi?plz nahitaji hata naejua gharama zake,nisaidieni tafadhali,Mungu awabariki
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Hello watanzania wenzangu, mimi nina mapendekezo ambayo ningependa wadau wa elimu tujaribu kuyaangalia na kuya pa umuhimu...kutokana na swala la elimu kuwa muhimu kwa vijana wa nchi yetu nina...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom