Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jaman naomben kujua kuhusu chuo hki cha kilimanjaro international institute je ni kizuri?
0 Reactions
7 Replies
9K Views
WATAHINIWA wapatao 2,602 wamefeli mtihani wa bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu [NBAA] Tarifa iliyotolewa na bodi na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Pius Maneno ilisema jumla ya...
0 Reactions
43 Replies
12K Views
Katika hali iliyojili leo hapa UDOM KITIVO CHA ELIMU, Kila mtanzania mpenda maadili anapaswa kuupongeza uongozi. Inasemekana zaidi ya wanafunzi kumi na, wametimuliwa chuo kwa kosa la kuvaa mavazi...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
:flock:Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha mwenge(moshi).ninasomea hesabu na takwimu (BS IN MATHEMATICS AND STATISTICS) hivo basi mwezi ujao (mwezi wa pili) tunatakiwa kufanya fieldwork katika mikoa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hey guys if any of you got some links which have a pile of exams, notes, practicals just post in here: I HAVE FOUND A COOL LINK JUST GET IN ONE OF THE FOLLOWING 1. http://202.82.16.155/bss/...
0 Reactions
0 Replies
663 Views
Tofauti ipi iko ya kielimu kati ya dk slaa na dk Wilimboka?
1 Reactions
43 Replies
8K Views
VYUO VIKUU MADESA YAKITIRI KUCLEM KWA SANA.MAKAZIN HAKNA UFANISI:evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil::evil:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani ndugu zangu nina shida kweli na matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2003 na 2006, hususani ya Morogoro Sekondari mwak 2003 na Kigurunyembe Teachers college private candidates mwaka 2006
0 Reactions
8 Replies
15K Views
Jamani naombeni mnijuze kuna mdau mmoja kaniambia eti ajira kwa walimu wote ni mwez wa nne? Je mna taarifa hiyo.
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ndugu wadau wa elimu, Tunafahamu kuwa kazi ya kutoa huduma ya elimu nchini Tanzania inafanywa na serikali na sekta binafsi. Serikali inajukumu la kuandaa sera, mitaala na kutoa miongozo kuhusu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
KWA WANA SUA INABIDI TUMALIZE SEMISTER 1, 1/03/2013 :israel::israel:
0 Reactions
6 Replies
1K Views
miongoni mwa mambo nisiyoweza kuelewa ni nadharia ya mageuzi. Nadharia hii ya kisayansi naiona kama jambo lililopitwa na wakati. Katika nyakati hizi za maendeleo ya kisayansi tuliyofikia haiingii...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Ndugu zangu nimekuwa nikikatishwa tamaa sana juu ya changamoto ya masomo ya geograph na mathematics kuwa ni magumu sana kwa elimu ya juu hususan ktk elimu ya chuo kikuu, na katika machaguo yangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nakumbuka sSerikali, kupitia Wazara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilisema itatoa viwango vya ada kwa shule binafsi kuanzia mapema mwezi Januari, hivi sasa shule zimefunguliwa, wazazi wamelipa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hatimaye wizara ya elimu imetangaza matokeo ya kidato cha pili huku mkoa wa dar es salaam ukionekana ni mkoa ulioongoza kufelisha wanafunzi source=wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi
0 Reactions
9 Replies
3K Views
nashindwa kuelewa ni kwa nini maprof na viongozi wa udsm wanashindwa kufungua matawi ya chuo hicho na ndio chuo kikuu cha kwanza hapa tz,pia wanashindwa hata kufungua mikoani achilia mbali nchi za...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Wana JF naomba ushauri..Nimehitimu kidato cha nne nikapata Div 4 ya point 28,Nahitaji kujiunga na chuo ni faculty gani iko kwenye soko sana ambayo nikisoma haitanisumbua kupata ajira. KUACHA...
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Nasomabsc with education in open university hv hii kozi inalipa maana naisoma kwa tabu c unaelewa working and studying au nitemane nayo niingie chuon kabisa nikasomee business ndg,nichukue bba,thnx
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Closed
Yule jamaa aliyekuja na muungano wa pemba na zimbambwe south Africa, leo amenifurahisha sana alipokuwa anatangaza matokeo ya kidato cha pili kwa mambo mawili< 1. Eti mikoa ya kanda ya ziwa ni...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Kak na dad kama unajua chchte kuhusu mikopo ya waliofanyiwa transfer nipe taarfa michakato imefkia wap? Naipenda tz
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom