Hivi viwango vipya vya mishahara hususan kwa walimu vilivyovumishwa kuanza mwezi Dec. 2012 vimeishia wapi?. Upepo ulivuma kwa kasi na wengine kusema wameunyaka walaka,unaoeleza kurudi kwa teaching...
Niko hapa Chimwaga,
Nimejumuika na wanafunzi wa Kiswahili wanaigiza hiki kitabu...
Nimejifunza mengi nikilinganisha na siasa za Tanzania!!
Umekisoma hiki kitabu?!!
Kuna kitu...
Sacred heart secondary school>is the school which was restricked found in 2007 by the hounourable fr.AVITUS KIGUTA who was a father at chicago.until this time the school have more 25 classes...
Habari wana jf. Kwa yeyote anayefahamu topic za form v za Basic Applied Mathematics (BAM) pamoja na subtopics wanazotakiwa kusoma tofauti na pure Mathematics anisaidie kwa kuniorodhoshea. Kwa...
Wadau naomba kuuliza.Hivi kuna chuo kikuu chochote ambacho mpaka sasa wameshawalipa wanafunzi wao ile hela ya "special faculty requirement"?Kama kuna waliolipwa naomba watujuze ili nasi wengine...
Kutupa mimba ni kitendo chacha kutolewa kwa mototo wa ngombe nje ya mfumo uzazi na mara nyingi akiwa amekufa kunakotokea kati ya siku ya 42 hadi siku takribani ya 260 kabla ya siku zake za kuzaa...
Natumai Mko poa wanajamii. Ila nina leta changamoto moja ivi anaeweza kuelezea umeme na anaeweza kufanya kazi za umeme au mashine yoyote na kuzielezea, yupi anastahiki malipo makubwa?
Nauliza...
Ndg wana JF, NIMEKUWA NIKIFUATILIA SANA PROSPECTUS ZA VYUO MBALIMBALI NA KUBAINI KUWA WALIOPEWA VYEO KAMA WAKUU WA IDARA WANA ELIMU NDOGO KULIKO WANAOWAONGOZA. MATHALANI UTAKUTA ASSITANT LECTURE...
Chuo cha utumishi Wa Umma Kampasi ya Tabora kimeingia kwenye utata na Wanafunzi wake baada ya Mwalm Aitwae ALEX Ndaikiza kuwaandikia barua Wanafunzi wote Waliokuwa Diploma Mwaka Wa 2 semista ya...
Marafiki,
Tafadhali angalieni nafasi hii hapa. Kwa swali lolote, nitakuwa tayari kukupatia msaada wa maelekezo muhimu, na majibu ya maswali yako. Tafadhali ukiwa na swali niandikie kwenye barua...
Jana gazeti la mtanzania lilifanya baadhi ya watu kupoteza pesa zao kuperuz kwenye mitandao mbalimbal kwa kile kilichodaiwa kuandika SERIKALI YAMWAGA AJIRA KWA WALIMU basi wadau wengi waliangaika...
Bila kuzunguka nianze na afisaelimu shule ya msingi wilaya ya Chato. Huyu jamaa ameamia juzi lakini amekuja na mkakati wake eti walimu wafundishe mpaka saa kumi akiwa na maana kuanzia saa...
WIZARA IMEWALIPA BAADHI YA MADENI YA WALIMU. ILA CHA KUSHANGAZA WALIOLIPWA NI WATUMISHI WACHACHE KULIKO KAWAIDA. ANGALIA HAPA TAARIFA YA MADAI YA WALIMU YALIYOLIPWA KATI YA TAREHE 1 JULAI HADI 30...
Aiseeee babayangu ni jambo la kuchekesha kama si kusikitisha, kijana wa nyumba ya jirani yetu hapa mkuu rombo amepata nafasi ya kufika chuo kimoja wapo kikuu ( jina nlifadhi kwa heshima) hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.