Chuo cha IFM kuhamishiwa Msata katika Mkoa wa Pwani baada ya kupatikana eneo la kujengea la hekari 1500. Waliozoea kufuata mabinti wa IFM itabidi kuwafungia safari hadi Msata ujenzi...
Katika mijadala mingi na mikutano ya Viongozi na wafuasi wa ccm,wamekuwa wakitolea mifano eti wamefanya maendeleo katika elimu na miundo mbinu ya barabara hivyo kuwataka wananchi waendelee...
Leo nimekutana na watu njiani wanazungumza maneno yafuatayo kwenye simu: " Nasikia huko nyumbani Mvua inanyesha KINYAMA, wee Juzi ndiyo ilinyesha KISHENZI, nasikia na kijiji cha jirani...
Nasikitika sana hapa ninapo andika hiki ninachokiandika, kuna baadhi ya wanafunzi wa chuo cha udom tangu wafungue chuo hadi leo zikiwa zimebakia siku chache wamalize semester bado hawajawekiwa...
Result letter for November 2012 Examination will be issued effectively from Wednesday,9th jan.2013 at Mhasibu House Room no.S.04,Library Block,Ground floor from 9:00am_4:00pm.
congratulation to...
Nimepokea ujumbe huu kupitia simu yangu ya mkononi. Ni ujumbe unaoweza kuchukuliwa kama masikhala lakini ni hatari sana kwa mustakabali wa elimu yetu, hasa watoto wa wakulima tunaotegemea shule za...
Waalimu ndg zangu nawauliza ni kweli mlirudi kazini au abrakadabra na mazingaombwe mlioyafanya? Kwanza kabisa nauliza hivi kwa sababu sioni kabisa dalili za nyie kuwepo kazini kwani picha halisi...
New Scholarships and Awards for MPP candidates
The School was delighted to announce in December a number of new scholarships and awards available to Master of Public Policy students...
Katika mijadala mingi na mikutano ya Viongozi na wafuasi wa ccm,wamekuwa wakitolea mifano eti wamefanya maendeleo katika elimu na miundo mbinu ya barabara hivyo kuwataka wananchi waendelee...
Wana jamii forums na wadau wa elimu, kwa heshima na taadhima ninawakaribisha katika chuo chetu cha The Arusha East African Training Institute (TAEATI).Tafadhali soma maelezo zaidi hapa chini bila...
Mwalimu masomo ya Arts ni Degree holder BAED GPA 3.4 UDSM .Nafundisha History,Civics na General studies.
Nimefundisha miaka miwili hila kwa sasa nataka kufundisha private schools.Mwenye kujua...
hatimaye yale majina yaliyokuwa yanasubiriwa kwa hamu kutoka kwnye screening comittee yametoka huku ile post ya mchuano mkali ya uraisi yakitoa majina matatu kati ya yale tisa yaliyoingizwa kwnye...
yapata mwezi sasa tangu wanafunzi walokua hawana mkopo na kukubaliwa kupewa mkopo walipo ambiwa wapeleke acount number zao mpaka leo hawaja pewa pesa zao na maisha yamekua magumu kwao, sasa...
Aliyekuwa Raisi Wa Kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha Idd Mohammed (Wa Sita kutoka Kulia Waliokaa Kwenye Viti) Alipokuwa Kwenye moja ya Kampeni zake za Kuwania Kiti Cha Uraisi Mwaka Jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.