Habari wana JF, napenda kuuliza ni taasisi au bank gani ambazo zinatoa mkopo wa elimu hasa kwa watumishi, maana mimi nimepangiwa chuo, lakini sijaomba mkopo. Ni mtumishi serikalini, ningepata hiyo...
Maana nikingia kwenye tovuti ya NACTE kuna sehemu imeandikwa applicant choose as:36 afu kwa mbele wameandika capacity 50 Sasa naomba kuuliza Hao 36 ndo idadi ya watu walio apply..
Samahan lakin...
Habari members!
Naombeni muongozo ni masters ipi naweza kusoma undergraduate nimemaliza B.sc in civil engineering.
N.B: mimi ni muajiriwa serikalini.
Options nilizofikiria
1. Kufanya distance...
1. Bachelor of accounting with information technology - IFM - DAR ES SALAAM
2. Bachelor of accountancy - T.I.A - MBEYA
3. Bachelor of accounting and finance - CUCOM/SAUT - MBEYA
4. Bachelor...
Poleni na majukumu wanajamvi, nahitaji msaada kwa mwenye ufahamu juu ya hili, mwanafunzi aliyesajiliwa kama diploma taker ktk kozi ya pharmacy akaamua kuishia ngazi ya cheti ni hatua gani anaweza...
Wakuu,
Nilikua naomba msaada jinsi ya kupata control number ya UDOM na apply , lakn nkifika kwenye "click here to get control number" nacklick lakin haileti.
Msaada wa haraka wakuu.
Msaada,
Wakati nafanya maombi ya kujiunga na chuo cha UDOM, nimefanikiwa kucreate account na ku log in, shida ni kwamba nime log in nakuta account kwenye dashboard ni empty hakuna sehemu ambapo...
Habari zenu wakuu!
Kuna dogo alipata division 2 form 4 lkn post zilizotoka leo amepangiwa kujiumga na chuo cha CBE kozi ya Marketing. Dogo hataki kwenda huko chuo, anataka kwenda advance akapige...
Naombeni kujua sifa za chuo cha Lindi COTC yaani ufaulu wake, na taaluma yake kwa ujumla mazingira yake na changamoto kiujumla ya vyuo vya afya hasa CO
Habari za majukumu ktk ujenzi wa Taifa?
Kati ya Bachelor of Sociology Udom, Bachelor of Sociology SAUT Mwanza na Bachelor of Public Administration Mzumbe Campus ya Dar, na Community & Development...
Nimemalza kidato Cha sita mchepuo wa HKL na Nina ufaulu wa div1.9 ila linalo nitatiza ni course ipi nichague na mimi napenda IT ilihali nimesoma Art.
Naombeni ushauri ni kipi naweza somea na hata...
Mimi ni mwanafunzi ninayesoma Utabibu, je, kuna short course ya Afya ya Ngozi (skin care) au mpaka niwe specialized doctor wa ngozi?
Lengo langu kubwa ni kuwa mfanyabiashara mkubwa wa masuala ya...
Habari wanajukwaa.
Ninaombeni mnisaidie maoni yenu kuhusu kozi saivi yenye kusomea kwa kijana wa pcm mwenye 1 point 8.
Mie nimemshauri ya kwanza
Chemical Engineering
Electrical Engineering...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.