Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

KAMA WEWE NDIO Uliyetoa MAADA INAYOSEMA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM NDIO CHANZO NA VIONGOZI WENGI WABADHIRIFU NA HAWA WANOIBA PER DIEM NA KUSInII VITU HEWA KUAZIA TIKETI NA HAYO NDIO MAISHA...
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Haya wenzangu na mie ambao mmemaliza Udsm2012 na mnaoendelea ile website inayo contain mambo yenu yote imejazwa matokeo tayari! Najua inafunguliwa kwa heshima zote na wadau
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Jamani nimesikia habari hii je ni kweli? Mimi bado sijaamini,fungukeni.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndgu zangu naombeni ushauri, hivi ni mbinu gani zitanisaidia ili niweze kusoma na kulielewa somo la psychology. Linanipa tabu sana hapa chuoni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Elimu ya tanzania ina ishara ya kujenga matabaka. Siku hizi shule za serikali zimebatizwa jina la Kayumba. Kuna tofauti kubwa sana ya kimtazamo na kisaikolojia kati ya wanafuzi wanaosoma English...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani vip kuhusu ajira kwa wanaomaliza chuo cha mipango na vp ada zao?Naombeni msaadajamani
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mheshimiwa waziri wa elimu Dk.Shukuru Kawambwa naomba utambue tu kuwa jamii yote ya watanzania wakiwemo wasomi kama wewe inafahamu kuwa wewe ndiye waziri mwenye dhamana ya kuhakikisha gurudumu la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Elimu ya Tanzania haimwezeshi mwanafunzi kuweza kujitegemea bali ni ya kukaririsha zaidi. Serikali iwaandae na kuwaendeleza walimu kupitia Mpango wa Mafunzo Kazini ili kuinua kiwango cha Elimu nchini.
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Kuwa wanafunzi wengi wa chuo ukimhakikishia mlo mmoja kwa siku unamla uroda... Hii iko hivi tufanye mlo ni 3,000. So ni sawa umemla uroda kwa tsh 3,000 Hi ni new version ya uwanja wa fisi...
0 Reactions
55 Replies
6K Views
Kuna baba yangu mdogo anamtafutia mwanae shule ya msingi hizi za bording kwa hapa Dar es salaam. Ziwe English medium na mtoto mwenyewe ndo anaingia darasa la pili next year, 2013 kwenye moja ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
NAOMBENI MSAADA WANAJF,NINA BINTI YANGU AMEFELI KIDATO CHA NNE( yaani ana four ya 35)..NIMEJARIBU KUTAFAKARI NAMNA YA KUMSAIDIA NIKAONA LABDA VETA ITAMFAA,NIPATIENI USHAURI JUU YA KOZI AMBAYO...
0 Reactions
9 Replies
27K Views
Chuo hiki kifungwe kwani uongozi wake ni mbovu kuanzia wa juu mpaka mfagizi...finance wameoza, administrators takataka wengine wanajidai et hawakuja kujifunza kazi udom...hamna kitu wengine...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
FIKA OFISI YA AMANA GLOBAL PARTNERSHIP FOR COMMUNITY DEVT. OFISI ZIPO SOKO LA MAKUMBUSHO CHUMBA NAMBA MBILI. AU TEMBELEA WEBSITE Amana Global Partnership For Community Development Company Limited...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
tarehe 12 dec 2012, zaidi ya miezi miwili tangu mwaka wa masomo uanze,wanafunzi mwaka wa pili tuliokata tamaa na kuzoea kupiga pasi(lampard) ndefu tumeingiziwa boom pia na wanafunzi baadhi mwaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Idara ya elimu kwakweli mnatia aibu kwa utendaji kazi wenu uliochini ya kiwango. Hiyo ikiwezekana ifumuliwe na,kupangwa upya. Rushwa imejaa kuanzia msijara mpaka .......æ.... Hivi sasa ukitaka...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wa link ya local au international business journal inayoruhusu mtu ku-publish. Nitashukuru sana.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakerwa na viongozi na wanasiasa hasa hao wanaotumia initial za "Dr" kwenye majina yao wakati rules haziruhusu. Nakumbuka TCU iliwahi pia kuweka sawa hili kuhusu matumizi ya hii initial na...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
naomba muongozo wa uanzishwaji wa federatio,kwa kuelekezwa ni ofic gan nchini inahusika na zoezi hili,vigezo vya kuzingatiwa a muda wa kupata usajili rasmi
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Hello wanajamii:Kwa yeyote anayehitaji kupata mafunzo ya BASIC APPLICATION OF GIS IN(ARCGIS SOFWARE &MAP INFO PROFESSINAL) na DATA CAPTURE(ukusanyaji wa taarifa kwa kutumia) technologia ya GPS na...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Back
Top Bottom