Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Inashangaza sana hii NGO,walisema mikopo yao wangeanza kuitoa mapema mwezi wa kumi,lakini mpaka leo wamekua wanawapiga watu danadana tu,leo wamekuja na tangazo linalosema eti mikopo ni mpaka mwezi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
mamboz kwa wana jf wote jaman jaman hv wote mlio soma ST.JOHN'S UNIVERSITY mmesha wah kupata usumbufu km niliopt me yan matokeo ni yangu lakn kupata 2 hayo matokeo yan transcript inachukua karibia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni miaka mingi kada ya uwalimu imekuwa ikidharauliwa kwa muda mrefu nchini kwetu. Hii imepelekea mwalimu kudharaulika sana ndani ya jamii japo amekuwa mtu muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa letu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Heshima wakuu!! Katika kuadhimisha miaka 51 ya uhuru kuna mafanikio gani na changamoto gani katika kuiendeleza elimu bora nchini Tanzania? Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
PRESIDENT'S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT SCHOLARSHIPS ANNOUNCEMENT Applications are invited for qualified Tanzanians from the Public Service to apply for the following programs from the...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
PRESIDENT'S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT SCHOLARSHIPS ANNOUNCEMENT Applications are invited for qualified Tanzanians from the Public Service to apply for the following training program...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kampala international University, Dar es Salaam college inatarajia kuanza masomo jumatatu baada ya likizo fupi ya sikukuu ya mwaka mpya na xmas. Kuna taarifa kwamba hadi sasa Chuo hakijalipa...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Mwanafunz wa kiume mwaka wa tatu afariki dunia ghafla saa3 alfajil, baada ya kutoka disc na kujisikia vibaya na kufariki papo hapo, anatokea Tarime (LYOBA), R.I.P ndugu yetu.
2 Reactions
54 Replies
5K Views
watumiaji wa facebook, naomba mnisaidie la kujifunza kule facebook, maana mwenzenu kila ninapo log in huwa nakutana na picha na vijisalamu salamu vya hi1, babie, sweethaert na picha za kuvutia na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
cwt
Yuko wapi G.Mukoba iko wapi CWT inamaana wanasubiri siku za kufunga shule zikaribie watangaze mgomo? walimu wa kitanzania watazidi kukandamizwa n kunyonywa tusipoamua kwa dhati kudai haki yetu.Ni...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Ndugu wana JamiiForum,nipo hapa kuwaomba ushauri wenu kwangu ni jinsi gani nitaweza kupata elimu ambayo niliikosa huko nyuma. elimu yangu tuseme ni ya ufundi kwani nilianza secondary mwaka kidato...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanafunzi wa chuo kikuu Kampala International University Tawi la Dar es Salam leo Wameingia barabarani kushindikiza serikali ije kuwasikiliza kutokana na kilio chao cha muda mrefu cha matatizo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakati nchi nyingine zinawekeza kwenye elimu nchi hii inawekeza kwenye ufisadi na siasa chafu, tusubiri anguko kubwa kama si kufutika kwa tifa hili katika ramani ya dunia, elimu nndio mstakabali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi.ni.mwanafunzi.wa.chuo.cha.dodma.nimepewa.kazi(assignment)kueleza.origin.ya,maisha.plus.eshablishment.date.conductor.as.well.as.succesful&failure...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
kuna rafiki yangu ana mwaka1kwenye ualimu ktk kijji cha mkoa wa mbali na nyumbani,anapita mikoa6 had kufika huko,anang'ang'ania kuacha kazi, sijui hata nimshauri vp ndugu zangu wanajf!sababu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Pamoja na kuwa DIT ndicho chuo cha technolojia hapa nchini lakini huwezi amini kimeshindwa kudhihirisha kwa vitendo ufanisi wake, angalia website yake ni kama ya wakulima tu mambo ya miaka...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mmoja wa walimu hao ambaye hakutaka kutajwa gazetini akihofia kushughulikiwa na wanafunzi hao alisema amelazimika kuikimbia pamoja na walimu wenzake wote, kwa kuwa wameshindwa kudhibiti tabia hiyo...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari nilizozipata toka chuo kikuu mzumbe ni kwamba hawa jamaa tangia wafungue chuo mwezi wa kumi mpaka sasa hawajapata pesa zao za mkopo yaani pesa za misosi, hapo ni nani alaumiwe? Ni uongozi...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Tafadhalini ndugu zangu mlioko Dar mnafahamu au mejua taratibu za Graduation ya masters hapo tarehe 14 kama vile majoho yanatolewa lini na kwa shilingi ngapi na vitu vingine vinavyoweza tusaidia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jf mimi nilikua sua but nikabadirishiwa chuo.TCU wakaniambia watapeleka majina loan board,cha kushangaza nimekwenda loan board wameniambia wanasubili majina toka tcu.kwel hii ni haki sku zote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom