MKUU wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, amesema kundi lililoathirika na virusi vya Ukimwi kwa kiwango kikubwa wilayani humo ni vijana wenye umri kati ya miaka 18 na 22.
Mushi alisema...
Wakuu ninaomba kuuliza kwa wale wenye Ujuvi na masuala protokali/Itifaki (sijui neno lipi hapo litakuwa sahihi kutumika), unapotumia Title "JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA (THE UNITED REPUBLIC OF...
Wizara ya elimu ya juu haina budi kubuni kuiga mazuri toka nchi nyingine ili kuunda mfumo wa elimu ya juu kwa mfumo wa kuwaunda wanafunzi kitaaluma, kimaadili ili kujenga vema future yao. Kiwango...
Ndungu zangu naomba mnieleweshe kwani mimi ni miongoni mwa wanafunzi ambao wanachukua kozi mpya ya Human resource planning and managemnt,je soko letu liko je huko duniani?
Mwanafunzi.
Ugonjwa wa kifua kikuu cha ngombe ni ugonjwa hatari sana wenye madhara makubwa kiafya kwa ngombe, mwanadamu na hata katika biashara ya kimataifa. Ni ugonjwa unaosababishwa vimelea vya bakteria...
Wadau kila ninapojiuliza ni kwa nini Public Primary School masomo yanafundishwa kwa kiswahili sipati jibu. Kama huyu mtoto akitoka tu hapo akiingia sekondari masomo yote yanaanzwa tena kufundishwa...
Wana JF naombeni mnisaidie katika hili,kuna ndugu yangu anataka kusoma hii masters huko kwa malkia (UK),sasaa anasema akiangalia ada ipo expensive kidogo kuliko masters nyingine..mimi naomba...
Wana jamii?kumbuken jns gani tulisubl kwa ushlikiano heslb wato majn ya mikopo?mie pia nilipata ila tcu walinitelekeza sua nikakosa usajl nikarud ardh wakanipoke but mpaka leo mkopo wangu upo...
waheshimiwa natafuta field kwa mwakani mwez wa pili nachukuwa Civil engineering;;hivyo hata kama huna uzoefu wowote naomba unitajie kampuni yoyote inayohusika na maswala hayo utakuwa umenisaidia...
Jamani hii nchi yetu sote.Mwalimu alituachia asali na maziwa,mbona watu wachache tu wanafaidi,tuwaeleweje.
Inakuwaje nchi tajiri watoto wa makabwera tuumie?Mbona vigogo waliopo kwenye hiyo bodi ya...
Jamaa ana certificate ya Land Management and Evaluation, je anaweza kutumia cheti hiki kuingia kuchukua digrii katka chuo chochot binafsi hapa Bongoland?
Nawasilisha wadau....
Kuna madogo walikuwa wanaingie 1st year mwaka huu wengine waliahidi kujenga nyumba kwa hela ya boom, kununua mbuzi wa kufuga, kusomesha wadogo zao, n.k. Mbona hamleti ripoti ya hayo yote?? Au hata...
habari zenu...
naomba kuuliza. hivi vyeti vya kidato cha nne huwa vinatoka lini baada ya mtihani. kuna mdogo wangu alimaliza mwaka 2008 je sasa anaweza kupata cheti??
In november 2012,every mzumbe university student had income of 150,000/= per month,facing the price of meal (x) 1000/= and average price of other goods (y) 1000/=.the initial utility maximizing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.