Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wandugu mwenye taarifa kama list ya transfered students ishapelekwa loan boart anijulishe tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale waliosimamia mtihani wa taifa kidato cha pili 2012 au wadau wengine wowote wa mtihani huu, naomba tujulishane mchanganuo wa posho ya usimamizi, semina na nauli kwa wasimamizi wakuu na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo wakati natoka kazini na natembea kwa miguu, nikasikia wanafunzi wa kike waliokuwa mbele yangu wakimshutumu mwalimu wao mmoja kuwa amezidisha tabia yake mbaya ya kutembea na wanafunzi. Wakadai...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
06/11/2012 By Mohamedi Mtoi Picha zinawaonesha wanafunzi waliokuwa katika chumba cha darasa wakifanya mtihani wa Taifa wa kidato cha pili ulioanza jana nchini kote Tanzania. Wanafunzi hawa...
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Ni kituo cha Mabasi ya Mikoani Ubungo. Naingia kukata tiketi ya Arusha. Nimeshaipata. Sasa wakati natoka nje,nawakuta madereva wa taksi na bajaji wanawazonga vijana wawili:mmoja msichana,mmoja...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Hawa jamaa kuna watu wamewanyima mkopo kwa sababu za kitoto kabisa eti 1.kozi siyo priority wakati kuna wanafunzi wamepata mikopo bila kujali kozi za kipaumbele, 2.vilevile wamesema Tcu walikosea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Independence of africa was both good and bad news to pan- africanists in the continent and diaspora.discuss this statement with examples
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimesikitishwa sana na kuona wahitimu wasio na sifa kutunukiwa shahada zao bila kufanya mitiani yao ya mwaka wa tatu hata mmoja. ...................hii ni usibitisho tosha ma Profesa wetu kwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
kwa wote waliosoma Kahororo Sekondari nadhani mtakua mnamkumbuka Mwl. Agricola-mtaalamu wa somo la Phyiscs, ni kwamba mwalimu wetu huyo anaumwa na yuko hapa Dar es salaam akipatiwa matibabu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa anaesoma mitihani hii ya u.k au anajua taratibu na bei zake please..!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Top 20 Universities and Colleges in Africa 1 University of Cape Town South Africa 2 Universiteit Stellenbosch South Africa 3 University of Pretoria South Africa 4...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna haja ya Uongozi wa chuo kukemea vikali uvaaji mbovu wa mavazi,haswa hii jinsia ya kike mavazi wanayovaa ni balaa nusu uchi bila aibu wanaingia leacture theatres na wanafanya presentation...
1 Reactions
60 Replies
8K Views
Pia ningependa kujua range za ada za shule nzuri private za day km shaaban robert, mzizima, jitegemee, makongo, Mbezi beach, mbezi high. maana wakati huu wa kutafuta shule mnaweza kuwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi vyuo vikuu kutokuwa na uniformity ya ufundishaji na kupelekea kutofautiana katika course, mfano, programme flani kuwa na idadi tofauti za course kwa vyuo tofauti, ina maana hakuna chimbuko rasmi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nokia X201 inauzwa bei poa Tsh. 110,000/= Simu ina camera 0.3 megapixels, EDGE class 32, Bluetooth, QWERTY keyboard. Wasiliana nami +255716300091
0 Reactions
0 Replies
877 Views
kama kuna member hum ana soft copy ya vitabu vya musiba kama vle njama, kikosi cha kisasi, hofu nk anidumbukizie humu
0 Reactions
0 Replies
810 Views
Kama wastani wa ufaulu hautashushwa hadi 21. basi tungojee disaster kubwa, kuna shule zitakuwa na wanafunz 7 tu kidato cha tatu! mwakani.
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Naomba mwenye title nzuri ya project ya umeme anitumie.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
Hafsa Golo SERIKALI ya Oman inatarajia kujenga kituo cha kisasa cha kiislamu Zanzibar ambapo ndani yake kitakuwa na msikiti mkubwa, madarasa sita, chumba cha kompyuta na maabara. Balozi Mdogo wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Hivi hakunaga elimu ya juu kwa mambo ya usalama wa raia? Naona polisi wote wakishamaliza chuo chao cha Moshi wakitaka kusoma zaidi wanasomea vitu vingine kabisa eti Bachelor of Art in History????????
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom