Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwa Dunia ya sasa tumeona wenzetu wakisoma fan tofaut tofaut na kwa kiwango cha degree ama zaid, ili kurahisisha maisha na kupata fursa zaid, Je hapa kwetu fan zip tatu muhim mtu anaweza kuwa nazo...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
wadau hii imaekaaje kwa udsm kuwafanyia usaili wanafunzi wanaojiunga na masters ya linguistic mwaka huu kwa wale wanotoka vyuo tofauti na udsm ianamaana hawaamini kuwa kusoma vyuo hivvyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hebu nisaidieni jamani hii course ya BACHELOR OF PUBLIC ADMINISTRATION IN RECORDS AND ARCHIEVES MANAGEMENT ina soko tz na hawa watu wanafanya kazi gani na wapi?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Arusha kuna chuo kipya kinaitwa SUYE HEALTH INSTITUTE masomo yameanza leo, nafasi bado ipo kwa waliokosa vyuo vya wizara ya afya, changamka muwahi kabla ya Ijumaa. Piga simu 0754 269625 kwa...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Unaweza kumdu kuwadanganya baadhi ya watu wakati wote, na unaweza kumdu kuwadanganya watu wote nyakati fulani. Lakini huwezi kumdu kuwadanganya watu wote wakati wote. Je, sasa watanzania tuamini...
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Necta ni chombo muhimu tena sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndigana Kali ni ugonjwa hatari unaowapata ng’ombe ukiwa na dalili ya homa kali, kuvimba kwa matezi, upumuaji wa shida na vifo vingi hasa kwa ndama. Ni ugonjwa unaoenezwa na kupe wanaojulikana...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hatimaye wanaanza kukubali makosa yao JK akiri makosa ujensi wa sekondari za kata Na Jackson Odoyo na Happy Lazaro, Arusha RAIS Kikwete amesema Serikali ilifanya makosa makubwa wakati wa ujenzi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Vijana wachadema mlio vyuo mbalimbali nchi nataka niwashauri jambo moja chama chetu kimekuwa sana kila mtanzania mpenda maendeleo atakiri hilo,ila tatizo tukiwa vyuoni watu tunawekeana hadi visasi...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
KATIKA JINA LA MUNGU BABA, MUNGU MWANA, NA MUNGU ROHO MTAKATIFU ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA ULIMWENGU WOTE NINAKUOMBA UIBADILI, NA UIBARIKI FAMILIA YANGU, KAKA ZANGU, DADA ZANGU, WAZAZI WANGU...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mgogoro mkubwa umeibuka katika Shule ya Sekondari ya Bagamoyo mkoani Pwani kati ya wanafunzi wa Kiislamu na Kikristo na kusababisha Mkuu wa Shule hiyo, Bonus Ndimbo, kuikimbia shule na familia...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu watanzania wasomi wenu vyuoni hawafai,ukahaba ndio kazi za mabinti,rushwa na ufisadi hautaisha kama hawatabadilika
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ELIMU YA JANDO NA UNYAGO: Sio Elimu ya kuiga mambo ya Mila zingine[hakuna mapokeo ya mila nyingine],ili lenga jamii husika tu. Hakuna Cheti kinachotolewa,bali wote wanafaulu Kumbukumbu ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Mtihani wa kidato cha pili unaanza leo nchini kote. Serikali imerudisha utaratibu ulikuwepo hapo mwanzo wa mchujo. Waziri wa elimu amesema.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau poleni na ujenzi wa taif. Jamani kuna mtoto wa jirani yangu,maeneo ninapoishi wamegoma kumpeleka shule baba hataki asome ukimuuliza sababu nn hasemi, mtoto ana miaka km kumi au 11 ni wa...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
habari wanaJF, naomba kama kuna mtu anafahamu mahali certification hizi zinatolewa hapa Tz anijulishe. 1.Occupational Safety and Health Management(OHSAS18001:2007) 2.ISO9000/TS16949 (Quality...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Public Speaking: From Petrified to Powerful in 10 Steady StepsFollow Mark's Tyrrell's journey from a presentation panic attack to confidently speaking to an audience of 500 Mark Tyrrell, formerly...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
A&P Prime College of Business-Dar Es Salaam(APPCO).. Chuo cha kisasa kinachotoa mafunzo ngazi ya Basic Certificate,Advanced Certificate na Diploma. Kozi zifuatazo:- 1.Business...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Chuo kikuu Sokoine Morogoro, Hostel ni tatizo kubwa sana.Wanafunzi waliopo ni kama mara tatu ya Hostel zilizopo, Wanachuo wanalala wawili wawili a. K.a kubebana lakini wapi....wengine wamepanga...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
FFU ni sehemu ya Jeshi la Polisi ambacho chimbuko lake ni kikosi tangulizi cha askari 31 wa Jeshi la Polisi la Makaburu wa Afrika Kusini, chini ya Major Stephen T. Davies, kilichoazimwa kutoka...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Back
Top Bottom