Utoaji wa mikopo(boom) kwa system ya batch(awamu) unakera kwn had sasa ni awamu ya kwanz tu ndo wamepata bado awamu mbil yaan ni full msoto espcial for 1 year!!
Heshima yenu wana jukwaa,naomba kwa mwenye kufahamu anifahamisha wapi nitapata CDs za kuona za kujifunzia kiingereza kwa watoto,naomba na bei zake.,asanteni
who controls the past controls the future, who controls the present controls the past.
"Don't worry about that for now. Just know that it's fear that keeps most people working at a job. The fear...
Hi,
I am a new member here at JF just joined to share the great experiences and expand my scope of mind with my fellows.
I am by the way a first year student admitted at The University of...
EUROPE:
"In Greek mythology, Europa was a Phoenician princess who was abducted by Zeus in bull form and taken to the island of Crete, where she gave birth to Minos. For Homer, Europa was a...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limewapiga mabomu mamia ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kimnyaki iliyopo wilayani Arumeru walioandama kwenda katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Pamoja na...
Habar zenu wana jamvi,nilikuwa naomba msaada wa kufika
chuo cha uhasibu kutokea Posta
nahitajika kupanda magari gani?
Na pia kituo kipi nashukia!
Isingekuwa vibaya kma mngenijulsha gharama...
Wakuu habari? Naombeni niwasilishe swali kwa niaba ya wengi. Nauliza mwenye any updates za postgraduate scholarship nchi yoyote. 7bu wengi tunapenda kuendelea na masomo baada ya hii shaada ya...
habari za asubuhi wakuu.
naomben msaada pakuanzia maana nimepoteza vyeti vyangu,cha chuo na form six.nianzie wapi.
plz naomben msaada wenu wa mawazo maana naamini sana hili jukwaa
Habari yenu wanajamii .
Naombeni msaada wenu wale waliosoma open university .je kwa aliyemaliza kidato cha nne na kuchukua ECD Diploma anaweza kujiunga .sana sana kwa mkoa wa Mwanza b'se after...
katika pita pita zangu kwenye mitandao mingine ya kijamii nasikia wanafunzi wa chuo kikuu mzumbe mwaka wa tatu wanalalamika pesa zao kwa ajili ya mazoezi ya vitendo (field) zimechakachuliwa...
Kwa msamaria mwema yeyote{wakiume} aliyeko mabibo hostels atakaeguswa na tangazo langu,bac naomba anipe huo msaada na mungu atamzidishia ktk maisha yake.asanteni
Source::::Oral Quesyionaire.:....Maelezo yanaonyesha vyuo vikuu baadhi hasa mlimani..:::Mc......Baadhi ya kana dada wanajiuza........Sasa sijui ni kua hela wanazopewa na wazazi au bodi...
Wanajamvi hivi katika ya hawa waziri na naibu waziri wa Elimu nani ana afadhali katika utendaji wizarani, kujibu hoja bungeni, na kweli walistahili kupewa wizara hii nyeti(pre-primary, primary...
Toka Bodi ya Mikopo ianze shughuli ya kukusanya mikopo yake iliyotoa imekua ikichukua fixed amount kati ya Sh.10,000 na 30,000 ya basic salary ya waajiriwa wote. Saizi imetoa maelekezo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.