Naomba msaada kwa yeyote mwenye notes za
1.MARXIST THEORY OF SOCIAL DEVELOPMENT
2.BOURGEOIS/ORTHODOX/MODERNIZATION THEORY OF DEVELOPMENT
3.MARXIST WORLD SYSTEM THEORY OF DEVELOPMENT NA
4AFRICAN...
Nimekuwa nikifuatilia harambee ya kuchangia tuzo ya Mwalimu bora kutoka kituo cha television cha ITV na baaada ya muda nilijiuliza swali moja: JE MWALIMU BORA TANZANIA ANAPATIKANAJE? Swali hili...
Nikwanzia asubuhi tupo HESLB kufuatilia issue ya 2nd year waliokosa mkopo mwaka jana, issue ni hot watu wana munkali board wanadai wametuma majina chuon but for further clarification tunawataka...
Ikumbukwe wanafunzi wengi walio mwaka wa pili vyuoni walikosa mkopo kutoka bodi ya mikopo (HESLB) na bodi ikaagiza kwamba wakifika vyuoni waombe tena (appeal) kwa shilingi elfu tano na hakuna...
Kachemka tena!!!
Leo akijibu swali la Mh Mbatia kuwa ni lini serikali itarudisha mfumo wa 3 K's (kusoma, Kuandika na Kuhesabu), amesema eti serikali itarusidha mfumo wa 3 R's yaani Reading...
Katika nchi kama yetu ambayo Waafrika ni maskini sana na wageni nai matajiri, kuna uwezekano mkubwa kwamba mwafrika akiruhusiwa kuiuza ardhi, katika miaka themanini ijayo, ardhi yote ya Tanganyika...
Ikumbukwe wanafunzi wengi walio mwaka wa pili vyuoni walikosa mkopo kutoka bodi ya mikopo (HESLB) na bodi ikaagiza kwamba wakifika vyuoni waombe tena (appeal) kwa shilingi elfu tano na hakuna...
As one headmaster runs away from his school in Bagamoyo with his Christian students and Muslims take to the streets again today in DSM after the Friday prayers, our end is now nearer than ever...
Mgogoro mkubwa umeibuka katika Shule ya Sekondari ya Bagamoyo mkoani Pwani kati ya wanafunzi wa Kiislamu na Kikristo na kusababisha Mkuu wa Shule hiyo, Bonus Ndimbo, kuikimbia shule na familia...
Jihadhari naKijana huyu wa Kikenya anayetumia account ya FB ya Fr. Theodore Walters kuombamsaada wa nauli kumsafirisha mmoja wa wanafunzi wanaodaiwa kufadhiliwa gharamaza masomo na Fr.Walters huko...
Napenda kutoa ushauri kwa wanafunzi wote waliokosa mkopo kufanya mambo yafutayo:1.kuwa na umoja katika kudai haki yenu, haki haiombwi inadaiwa, wasiwepo wanafiki wowote wa kuwarudisha nyuma, njia...
Wanajamii forum hope wote wazima.Napatikana Ubungo karibu na stand kuu ya mabasi ya mikoani.Nahitaji mtu yeyote ambae ana utaalam wa kutumia programme ya matlab kuna vitu aje anisaidie awe na...
habari za saa hii wana jf,
kuna jamaa yangu katoka kwenye interview jana, katika kunisimulia yaliyomkuta huko kanieleza kwamba kaulizwa swali hili..
*may you please call yourself*
naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.