Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ukifuatilia tovuti ya chuo kikuu huria cha tanzania utaona kuna jambo la ajabu linaloendelea kwa mpaka sasa kutoonekana majina ya wanachuo watakatunukiwa shahada za udhamili na uzamivu wakati...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jaman kwa mwenye kujua taratbu za kufuata anijulishe nataka kuhamisha mkopo wangu toka sua to Ardhi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Video ya mashine ya kukamua maziwa inayojiendesha yenyewe tangu kumuandaa ng'ombe hadi kiasi cha maziwa yaliyokamuliwa hiko hapa SEKTA YA MIFUGO TANZANIA
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Bofya hapa na ingiza jina lako
1 Reactions
10 Replies
4K Views
heshima yenu! wakuu na hitaji cheti cha degree cha out cha magumashi,kwa yeyote anayejua wap naweza pata anisaidie access...natanguliza shikrani
0 Reactions
2 Replies
923 Views
bofya hapa TANZANIA AUTOMOTIVE TECHNOLOGY CENTRE » JOB VACANCY
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu wa bodi ya mikopo chuo kikuu cha Mzumbe wamehesabu wanavyojua wao number of days wanazokaa field wanafunzi wa mwaka wa tatu kwa kuweka siku 106 badala ya siku 120 ambazo ni semester mbili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa eti program inayoongoza kwa watu kudisco ni sababu ya ugumu au inakuwa na vilaza wengi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
25/10/2012 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kitakuwa na mahafali ya 42 tarehe 27 Oktoba 2012 na Novemba 3, 3012. Jumla ya wahitimu 3,643 watatunukiwa shahada na stashahada wakati wahitimu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
For both BRD takers 1,2 and 3 year i need 2 share with you on issue of futuring of our coz so if you know anything we can share bz im 1year use kiswahili our nation language
0 Reactions
1 Replies
975 Views
Dah wakuu wezangu me kesho narudi zangu arusha kwani nishafulia nimebakiwa na nauli 2,boom cjui wamegoma kutoa,kwa wanasua wenzangu niwatakie masomo mema,ngoja nikajichange kwanza
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wanafunzi wako bize na swaga,nyimbo,magemu n.k ikifika tahaarifa ya habari wanatoka nje,ukiuliza mambo ya nchi yao PTO..
2 Reactions
21 Replies
3K Views
hi guys, ningependa kujua toka kwenu kama kuna mtu anajua kutoka kwa majibu ya chuo cha afya sindida pia tarehe za kuripoti pia. asanten sana nitafurah nikijibiwa.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nawasalimu! Mwenye taarifa yoyote kuhusiana na boom kwa 1st year hapa IFM anijuze plz mana hali ishakuwa tete, tangu tar8 mpaka leo duh!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mwenye kujua vyuo vizuri vya South Africa vinavyotoa elimu masafa hasa katika fani ya ICT
0 Reactions
0 Replies
872 Views
the question is if u hear somebody say a comptuter speed is 2.4GHz what does it mean?
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Homa ya mapafu ya mbuzi (HMM) ni ugonjwa hatari wa mbuzi unaosababishwa na Mycoplasma capricolum subspecies capripneumoniae (Mccp). Ugonjwa huu unajidhihirisha kwa dalili zifuatazo; kupumua kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu salaam sana,ni mara ya kwanza kukanyaga jukwaa hili. Katika magazeti ya leo kulikuwa na habari kuwa tume ya kuratibu ada kwa shule binafisi itaanza kazi januari,na tume itapanga bei moja...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
nimechaguliwa UDOM nimeshafanya na usajili nimelipa na kiasi nachohtaji kuchangia ila nataka niachane na chuo nifanye application tena mwakani je inawezekana? mkopo naweza pewa kwa mara ya pili?
0 Reactions
1 Replies
882 Views
nimechaguliwa UDOM nimeshafanya na usajili nimelipa na kiasi nachohtaji kuchangia ila nataka niachane na chuo mwakani je inawezekana? mkopo naweza pewa kwa mara ya pili?
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…