Habari zenu wakuu..
Me naomba uliza kuhusu hii ela wanaita ya special facult kwa 1st year ni lazima kupewa au ni usanii tu maana me naona kama tumepewa ela sawa chuo kizima,,me nasona engineering..
sijui inafikiri nini wanafunzi wa mwaka wa pili, ambao mwaka jana tulikosa mkopo pasipo na sababu ya msingi, yani wametuibia hela zetu na mpaka sasa vyuo vinafungua wanatuletea siasa. ushauri...
Nimeangalia cv nyingi za wabunge wetu zinaonyesha wengi wao wamewahi kuwa walimu.Lakini cha kusikitisha wanasahau walikotoka kwa sababu ni wachache wanaosimama na kumtetea mwalimu kwa dhati...
NAMBAAA HIZOOOO KAMA UJAPATA ROOM MPAKA LEO NA UNATAKA KUBEBWA AU UPATAKI MAIN CAMPAUS UNATAKA MABIBO OR VICEVERSA... PIGA HIZO 0654533154.. :A S tongue:
Naombeni msaada wana JF wale wenye uzoefu na media organiser kwa mashirika na Makampuni Mbalimbali namaana kwamba nataka kuwa Afisa habari wa kujitegemea nisaidieni Tafadhali namna ya kuandika...
Ni jambo la kusikitisha sana ukitafakari mwenendo wa utoaji elimu kuanzia ya msingi mpaka Sekondari ya juu(A level) kwa hapa Tanzania. Kiukweli hali inasikitisha hasa kwa mtanzania wa hali ya...
aise UAUT ni United African Universty of Tz, kipya kinafunguliwa pale kigambon chin ya raman mpya ya kgamboni, kinasimamiwa na wakorea, sasa jaman nani anajua chochote kuhusu hiki chuo na...
Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefaham agents ambao ni wa uhakika wanaolink na vyuo vya nje,preffered destination ni canada kwa ajili ya kusoma masters,au anaejua procedures without involving...
wakuu mnpe kampan hv boom kwa 1 yr hupata baada ya cku ngap chuo kkfungua coz naona sua 2naenda wk ya 3 especially 1 yr tangu 2fungue chuo bt nona kmya kama kusain wengne 2mesain...
Nimepata chuo na ndooo najiandaa kwenda kufanya reg J3 naomba mnijuze ni kwa muda gani bumu nitapata baada ya kufanya registration. Heko kwa wadau wote
Jamani kwa yule aliye dar samahani naomba aniangalizie DOTTO T. CHARLES niliomba certificate in clinical mediciene (clinical assistants).naombeni msaada wenu...