Kizazi cha facebook, wazazi tunalipaada,na hatuwapi hasa mabintilsimu,wanazitumia kwa kificho,utashangaa unaona commnts za mwanao facebook,jamani pesa zangu,mwanangu anapotea,na sie wazazi...
Kama ilivo hapo juu,nimesoma Engineering,nafuta kufundisha kwa part time shule yyte hapa mjini DAR..masomo ninayofundisha ni PHYSICS,MATHEMATICS,CHEMISTRY
kwa wale ndugu amabo wameshawahi ku appel miaka ya nyuma au wanajua mambo fulani kuhusu ku appel wanipe maneno hapa nlitaka kujua prosec nzma pia nlipnda kujua huwa yanatoka lini hayo majibu?
Polen sana ndg zangu kwa mliokosa mikopo,lkn nataka kuwaambia kwamba kamwe msikate tamaa kuna altenative nyingi;
kwanza,unaweza kutafuta taasisi zingine za serikali au binafsi na kuomba...
Mi ni kijana niliepangwa DUCE BEDS. Nimetokea Kilimanjaro na hapa Dar nimeshukia maeneo ya Kigamboni. J1 niliripoti Chuoni nikakuta ya kuwa sijapangwa hostel yoyote kati ya Mabibo na Mbagala...
Ni jambo lislokuwa la kawaida kwenye kipindi cha mitihani au marudio ya Mitihani (probation) kwa chuo kuruhusu activity yoyote ambayo huleta usumbufu kwa wanafunzi wanaojiandaa na mitihani, lakini...
Habari wana JF,
Binafsi kabisa napenda sana ichi kipindi cha Maisha plus (Masoud Kipanya) akiwa kama founder wa kipindi hichi.
Napenda sana hatua hii ya usahili (interview) kwa kweli najifunza...
wanajf me nimechaguliwa ifm course BBF na mkopo nimekula 4172500 .Nimejaribu kuuliza uku na kule kuhusu swala la malipo inakuaje,wengine wakaniambia natakiwa kulipa kiasi kilichobaki kwenye tution...
Ni kweli kabisa kwamba Umombo siyo Lugha yetu ya Taifa kwa kuwa Lugha yetu ya Taifa ni Kiswahili. Lakini tususaha kuwa tumekubali umombo siyo tu kuwa Lugha ya Kimataifa bali kuwa moja ya Lugha za...
Waheshimiwa maisha bila mkopo Chuoni ni *MAGUMU* sijapata kuona hasa kwa sisi watoto wa wakulima Ambao tumesoma St.Kayumba Sec. school(ukipeleka ADA Elfu ishirini na Tano, basi unarudishiwa na...
nimeingia kwenye website ya udsm ada zimebadilika mfano kwa wanafunzi wa sheria imeshuka toka 1,500,000. to 1,380,000.lakini sijui kwa kozi zingine kama zimepanda au zimeshuka nawaomba mcheki...
Huyu binti si kwamba amechora kitu wanaita tatoo bali ni majibu ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika mwezi uliopita mwaka huu.
Hayo yalijiri huko mkoani Kagera watu tulitegemea kwa vile...
Eti,mbona Vyuo Vikubwa Kama Udsm Vimegawanyika Katika Sehemu Kuu Tatu?.cheki;-
1:institutes
2:collages
3:schools
Kama Unajua Chochote Kuhusu Hili Naomba Unifafanulie Tofauti Za Dhana Hzo...
habari zenu the great thinkers!!
naomba niulize kwa anayefahamu,majibu ya mkopo kwa wanafunzi wanaoendelea(continuous) yatatoka lini,au ndo hakuna tena?kwa sababu yametolewa majibu ya first year...
28th September 2012
Aim is to ensure teachers have ample time to mark papers
Effective next year, Form Six and Four students will sit for their national examinations in May and November...
BY DAVID KISANGA 28th September 2012 Email
Print
Comments Aim is to ensure teachers have ample
time to mark papers Effective next year, Form Six and Four
students will sit for their national...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.