Wakati flan nakuwa na matumaini makubwa kwa hawa jamaa kwa kuangalia namna walivyojieleza kinagaubaga.... but kwa nini serikali imekaa kimya....? hata tamko?
Sponsors and supporters...
Katika miaka ya karibuni, imekuwa "fashion" kwa wanafunzi waliosoma PCM form 6 kujiunga na vyuo vya biashara, yaani, kusoma B.Comm na BAF (Bachelor of Accounting and Finance). Utakuta hata wale...
kundi hili linafanya vizuri sana katika tasnia ya ucheshi hapa Bongo,lakini wadau naomba kuuliza hivi watoto wetu ambao ni mashabiki wakubwa wanajifunza nini? hasa pale wanapoporomosha matusi...
nackitka sana ni napo ona wanafunzi wana feli somo la hisabati ivi tatzo ni kitu gan? au la bda kijana wangu tu ndo ana matatzo / kama kuna mwalimu mzuri
Nimegundua Kwa Heslb Haikutoa mkopo Kwa Asilimia Kama ilivyojinadi yenyewe kwamba ingezingatia asilimia,0,10,20,30,40,50,60,70,80,90 na 100.
Course Yangu Ni Shlng 1.3mls Wamenipa Mkopo...
Natanguliza shukrani,
Naombeni msaada wa kupata mawasiliano/contacts za Dstv/Multichoice hapa Dar es Salaam.Decoder yangu inasumbua.
asanteni nawasilisha
Kwa wale mnaosoma au mliochaguliwa UDOM naombeni mnisaidie kwa hili,
Hadi sasa nimepata sh 282,500 za direct cost na wanasema deadline ni tarehe 30 sept.
Je nikilipa ada baada ya deadline...
Nimewasiliana na wahusika wa HLSSF kuhusu utoaji wa majina ya watu waliopata mkopo kwenye taasisi yao wakasema watatoa majina ya waliopata mkopo baada ya October 30 watakapo funga dirisha la...
Kwa wale wa sua it is ma hope u ar ok naombeni nijuzeni hii koz ina field mwaka wa ngapi na vp kuhusu msuli wake kulinganisha na food science &technologyna pia khs future zake which one has...
jamani naombeni kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kutafuta na kupata sponsorship katika vyuo vya nje ya nchi kwa ajili ya undergraduate programmes,nilimaliza form 6 mwaka 2006 nimeapply mara 4 hapa...
Wanafunzi wa form six katika shule mbalimbali za sekondari wameanza kupiga kelele kutokana na mkanganyiko wa tarehe ya kufanya mtihani mwaka 2013. Ratiba ya BARAZA LA MITIHANI (NECTA) inaonyesha...
Kama mnakumbuka kuwa wizara ya nishati na madini ilitoa udhamini wa elimu kwa wanafunzi 10 watakaosoma petroleum engineering UDOM lakini hadi hivi sasa sijasikia tetesi kuhusu waliofanikiwa kupata...
Jamani wadau hili swala limekuwa likinishangaza sana kwa jinsi serikali yetu inavyodidimiza elimu kupitia mtihani wa kidato cha pili kwa kuruhusu hata waliochini ya wastani husika kuruhusiwa...
Habari Ndugu Zangu?ninamatumaini Kwamba Niny Wazma.
Kwa Wale Wapenda Kazi Za Chinua Achebu,mwandishi Maarufu Mnaigeria, Nimepata Habari Kwamba Babu Huyo Kapublsh Kazi Nyngne Kali Sana...
Form six kutokana na waraka wa wizara elimu ,mtihani utafanyika mwezi wa tano wiki ya kwanza.sasa haijajulikana kama,utakuwa na effect kwa 4m 6 wa sasa.kama una la zaid au ukweli wowote tupia...
Ndugu wana jf,mnamo mwezi uliopita niliandika topic yenye kichwa 'institute of financing more unemployment problem',samahani kwa wale ambao niliwakwaza kwa hiyo post yangu,sikuwa na nia mbaya just...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.