habari zenu binafsi bana wana jf!Mim ni mwanafunzi ambaye anategemea kuanza chuo mwakaa 2012/2013!katika maandalizi yangu kuna ki2 kimoja kinanitatiza ambacho ni hizo fomu tajwa!dukuduku nilizo...
habari wana jukwaa, mimi nimechaguliwa udsm bachelor of economics with statistics, ila ndugu zangu wamenishauri kua nikifika chuoni nibadili niamie accounts.....naombeni ushauri wenu je...
Habari wana jf.Naamini kuna watu wamechaguliwa kcmc ila wakiangalia kwenye web ya chuo majina yao hawayaoni nami ni mmoja wao nilipowapigia simu tcu kujua kulikoni wakaniambia wameshawapa majina...
Ni pale ninaposikia tangazo kwenye TV CHUO fulani kikitangaza kuwa kinatoa kozi zifuatazo;
Diploma in IT ya Uingereza,au Diploma in clearing and forwarding ya Uingereza.
Swali kwa nini wasisema...
Wanajamvi,especially wale wanaosoma sheria chuo cha SAUT,kuna tetesi kuwa lecturer ndg. raphael kamuli kuwa ametimuliwa au amehamishiwa tawi jingne la saut. hizi tetesi zinatokana na kuhairishwa...
Hongereni walimu wa manispaa ya moshi kwa kusema yanayowasibu mashuleni mwenu.Hayo matatizo ya walimu pamoja na wakuu wa mashule sio Moshi tu hata huku kwetu Rufiji yapo. Wakuu wa mashule...
kwa mjibu wa tetesi za apa jamvini majina ya successive loan aplicant wa UDSM na UDOM,,yameshapelekwa vyuoni na HESLB tena mapemaaa,,,kwaiyo ze dudu tuletee ile kitu,,,,LOAN APLOADS FROM HESLB za...
Jamani wana jukwaa ni bora kama huna kitu kipya ni bora usiandike post zisizo na maana kwani inakuwa kama kuwapotezea mda watu kusom post ambazo title zinakuwa za kuvutiaa lakini contents bure...
Jamani wadau wa elimu Tanzania. Naomba kama kuna mtu ana article yoyote inayoelezea "the history of music education in Tanzania" hebu anirushie hapa jamvini.
NOTE:SINA LENGO LA KUTAFUTA SIFA WALA UBAGUZI. Kwa kuwa ni kweli mwaka wa kwanza kwa wanafunzi wa Mzumbe hukutana na likizo ndefu,kama sijakosea ni from january to july.Je kwa wale wana BAF...
Bukoba THE opening of the Josiah Kibira University (JoKUCo) which was expected to take place in October, last year, will now be officially opened next month, it has been disclosed.
JoKUCo...
Im genuenely sory brothers,i knw exactly that ths is not 'jukwaa la Injili' but i have really appeared differently 2day.just say somethng!!!
we clearly knw that our education stands against...
1}shule ya pale sio ngumu,ila walimu wako complicated sana,unaweza ukaingia na dv 1.3 ukatoka na GPA ya 2.1,so usiende kubweteka,ukajisahau ukawa hupitii madesa,tenga angalau muda wa masaa manne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.