Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wanajamii,naombeni kuuliza eti ni vitu gani vya muhimu natakiwa kuvilipia kabla sijatia pua yangu chuoni....nimechaguliwa University of Dar es salaam,BA with education
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada katika tittle yangu hapo juu
0 Reactions
10 Replies
5K Views
We have: 90 guests, 7 bots online Your IP: 141.0.8.37 Opera 9.80, Today: Sep 15, 2012 7 bots online? Lazima kuna jipya wanaliupload, tuwe wavumilivu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nisaidieni ndugu, bodi inampango gani na first year? mwenye tetesi ansaidie
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanajamvi habari zenu za saizi. bila kupoteza muda ni kwamba udsm wametoa medical examination form unayotakiwa kuidownload na kwenda kuijaza hospitalini au kwny kituo chochote cha afya...
1 Reactions
11 Replies
7K Views
Wamenipa facult ya Computer science and engineering pale St Joseph wakati sikuiweka kwenye choice pia nimesoma HGL sasa sijui wanataka nini,nikiwapigia simu subiri subiri kibao.Msaada wa kimawazo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Is this another easy solution to another difficult question? I read it up in the Guardian of today that in a bid to curb massive cheating in national exams for the first time in history of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilichaguliwa st joseph dar kimakosa sababu mi nimepiga arts,lakini baadae nikaenda tcu wakaniambia wamenibadilisha niende Udom Baed in ICT lakini profile yangu bado inaniandikia nipo admitted st...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
hey jf members i need ur help pliz can u tell me about changing of faculty if pocble or not?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu hii taasisi iliyo chini ya udsm ikiongozwa na dr benson bana mbona ipo kimya sana?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mie mtoto wa mkulima,,,100% nategeme HESLB...vp SAUT wanazngua au??????
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa atakae penda kwenda kuchukulia chuoni,zitaanza kutolewa tar 17/09/2012,kama uko mkoani inabidi hadi chuo kifunguliwe.kwa maelezo zaidi,tembelea www.udsm.ac.tz
0 Reactions
22 Replies
4K Views
yaani mpaka sasa kuna majina ambayo hayajawekwa kwenye tovuti yao na ndio maana wanafunzi kibao ambao waliochaguliwa UDOM hawawezi kulog in, hivi ict yao ndio tuseme haipo active kwa wanafunzi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Find the mean and median of the probability function P(x) =1/4 *x^3 for 0 < x < 2, it is 0 elsewhere Weekend Njema wakuu!!
1 Reactions
0 Replies
979 Views
Nikuiva kwa mambo au ni matatizo ya browser, maana nimeingia kama mala sita nakuta peupe kabisa tofauti na siku site. Jaribu nanyie kisha tupeane hints.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Serikal ya jamhur ya muungn ya tz,imeingilia kati suala la TCU kuchelewa kutoa majibu lasimi ya vjana wenye sfa za kujiunga na vyuo nch na inasemekama kuwa TCU wamepewa saa 24 tu wawe wametoa...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Kuna watu nimepata habar za uhakika wanasoma TIA (Tanzania Institute of Accountancy) Mbeya branch 1st year wanasomea diploma ya Accountancy na wakati A-level walisoma HKL. Elimu ndo imebadilika...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
jamani wana jf ambao tunaenda mu mbona mkpo kimya tufahamiane jamani pia tupeane mainfo kuhusu maisha ya kule.karibuni!!!!!!!!!!:A S 465::flypig:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
By using real example prove that:- 1+1 = 2
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Samahani kama naposti kusiko. Kwa anayejua,je ni lini wanaanzan application kuingia Law School of Tanzania kwa intake ya january 2012? maana website yao hata haina chochote cha kueleweka wala...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom