Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau wote wa Elimu mnakaribishwa kutoa mawazo chanya ili kuboresha tukio hilo la kihistoria,,TTN ni taasisi iliyoanzishwa na kusajiliwa na walimu ikawa na lengo kuu la kuboresha fani ya Ualimu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naibu waziri Philip Mulugo amesema mfumo wa ukokotoaji wa alama za mtihani wa Islamic Knowledge ndio ulikuwa na makosa sio usahihishaji. Matokeo ya jumla yaligawanywa kwa tatu badala ya mbili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS (To be conducted in Dar es Salaam) The Department of Statistics, School of Mathematical Sciences is announcing a short course on “DATA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hatimaye ile tume ya watu 9 iliyoundwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi kuchunguza malalamiko ya usahihishaji wa mitihani ya Islamic Knowledge imekabidhi taarifa yake leo...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Wakuu, Naomba niwakaribishe kuifahamu kwa undani hii tovuti www.mathisfun.com. Natumaini mtaifurahia na pia kuwafahamisha watoto na vijana wenu ili waitumie kikamilifu. Itakuwa vizuri kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunafungua tarehe 14-9-2012,,hawa HESLB kudadeeeeeeeki
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wanajamvi, mimi nilikua ni miongoni mwa wale wanafunzi ambao majina yetu hayakupelekwa vyuoni, lakini leo nilibahatika kwenda sua na kuulizia inakuaje kuhusiana na hili? Ndipo nilipopewa karatasi...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Penye herufi weka namba ili jibu liwe sawa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Makamu Mkuu Shule ya Sekondari Kivesa, Faustine Mrosso, shule hiyo iliyopo Kata ya Chanika inahudumia vijiji vya Kwediyamba, Kwedizando na Kwekambara maeneo ambayo ni mbali na shule hiyo. Baadhi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
THE FREE EBOOK IS COMING SOON,HOW TO USE JAMIIFORUMS,AUTHOR ;mb-one http://covers.dummies.com/share.php?id=27747
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuwahabarisha wanachuo wote wa SAUT ie-:flypig:First Year,Second and Third year :flypig:yakwamba kwa wale watakao hitaji private hostel rooms zisizo za chuo kufanya mawasiliano na contact...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
WADAU NAOMBA KUULIZA SISI TULIO OMBA TCU NA NI EQUIVALENT MBONA MAJINA YETU HAYAJATOKEA VYUONI MAANA Tangazo la tcu lilituelekeza kuomba huko na sio vyuoni. sasa leo tunaambiwa majina hayapo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana ndugu nimepata taarifa sasa hivi kupitia mwana dodoso mwenzangu aliye ndani ya HESLB na amenihakikishia ya kwamba taratibu zote za ku-upload majina ya wanafunzi waliopata mikopo ya elimu ya...
5 Reactions
34 Replies
5K Views
“We are expecting 15 teachers by end of this September. This will definitely be a great support for secondary students,” Saleh said. She said it was previously planned that 10 teachers will come...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Zikisalia siku chache kufunguliwa kwa Vyuo Vikuu nchini,Wanafunzi Wanaharakati Vyuoni wamesema kuwa migomo haiepukiki. Wakizungumza nami katika nyakati tofautitofauti,wanaharakati hao wameapa kuwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni mmoja wa wale ambao walichaguliwa pale ardhi university lakini jina langu halikuonekana kwenye list ya mwanzo basi mimi leo nilienda pale chuoni na kukuta majina mengine yameshafika pale...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mimi huwa naamini si watu wote wanaostahili kupata mikopo hufika chuoni.Sasa kwa wale ambao huwa hawafiki hela zao huwa zinakwenda wapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TANZANIA BUREAU OF STANDARDS PRESS RELEASE STANDARDS DAY ESSAY COMPETITION Tanzania Bureau of Standards (TBS) has great pleasure today to launch the STANDARDS DAY ESSAY COMPETITION for 2012...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mitihani ya darasa la saba imekaribia,je unadhani ule mtindo wa Form one kuingia hawajui kusoma,usanii Tanzania hauzuiliki
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu,kulingana na taarifa rasmi nlizozpata muda huu toka chanzo cha kuaminika toka heslb,ni kwamba zaidi ya raia 15000 wamepigwa chini na heslb..watu wanaosoma udaktari wa...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Back
Top Bottom