Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani naombeni mnishauri ni kwa vp naweza kujiajiri iwapo nitasoma 'animal science'
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Jamani wasomi nisaidieni mimi kwenye akaunt yangu ya TCU nimeadmited chuo flan lakini kwenye website ya chuo jina langu halipo...na nina point 7 hapo inakuaje ndugu zangu?naombeni ushauri.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu jf,mimi nimechaguliwa kujiunga na mucobs university lakini cha kushangaza jina silioni kwenye web ya chuo,hivi nifanyaje?nimechukua ha2a ya kuwapigia TCU lakin sim haipokelewi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je ndio mimi pekee jina halionekani web ya chuo?je nifanyaje ndugu zangu? Nimeangalia web yao nikakuta waliopangwa kwenye facult niliyopangiwa na TCU ni 17,lakin awali guide book inaonyesha watu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nini tofauti kati ya B.of science edctn and B.of scienc in edctn? Ukisoma unaweza kuwa nan?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, sina hakika kama ninapost kwenye jukwaa sahihi ila nina shida ambayo ningependa mawazo ya wanajamvi wenzangu humu. Kifupi mimi ni mwajiliwa wa chuo fulani cha binafsi hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wakuu mi nilitaka kujua gharama za hostel kwa mwaka ni hilo tu wadau
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kikubwa ni swala zima la Hostel mm nimechaguliwa pale Bcs Building Economics, so kikubwa nauliza possibility ya kupata hostel kwetu sisi 1st year kama tunaweza kupata, au kama ni vigumu kupata ni...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Tumalize ubishi ingia kwenye hio link ujionee mwenyewe
9 Reactions
242 Replies
50K Views
JE INASOKO? BY SOBSTAR:spy::wacko:
0 Reactions
14 Replies
2K Views
rafiki yangu ana degree ya education but anataka asome master ya BBA au LAW...WADAU MNASEMAJE?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Wama jf naomba mnisaidie kwa anayefahamu jinsi m2 anvyoweza kufanya hadi awe lectuer chuoni
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nsaidieni jamani vp ntapata hyo kitu na me nko dar?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hi!
iv jaman wizara ya afya intoa lini majibu yetu au kuna yoyote mwenye matokeo mana da wanatuweka nusu nusu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani nimepata nafasi ya kwenda kusoma msumbiji sasa kabla sijaenda ningependa kujifunza kireno ambacho ndo lugha yao,JE NI WAPI NAWEZA NIKAJIFUNZA KIRENO KWA HAPA DAR..
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mi Napiga simu Naongea Kiswahili Lenyewe linanijibu Kiingereza ... na mimi Kwa Makusudi Nimemnyooshea Kiswahili kwa Muda wa Dakika Kama 15 hivi... ikabidi aamue Kuongea Kiswahili ha ha ha ha...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana jamvi mnishauri niliwahi kuajiriwa katika wilaya moja hivi serikalini nikaacha kazi kutokana na matatizo yaliyonikabili kipindi hicho ila nikaja kutuma maombi tena nikapata muhimbili na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari zenu members.naomaba kuliza kama kuna mtu yeyote anayejua kuhusu universities za india yaani ubora wao,cost nakadhalika..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ndugu wanajamvi napenda kuuliza kwamba mbona majina ya wanafunzi tuliochaguliwa kujiunga na UDSM kama profile zetu zinavyo onyesha kwa kutumia vyeti vya diploma hayaonekani kwenye website ya chuo...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Monin Jf memberz.. jaman mim naomben msaada wa kujuzwa kuhusu iyo course hapo juu. wat i want to knw z about wat it deals with n is it marketable in terms of employment?I'l also apreciate kama...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom