Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Je.ukisoma hii course unakuwa BANK TELLER.??kama ni kweli mshara kiasi gani..na je mabenk teller wana degreee????nisaiedieni wadau
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau mimi kuna kitu nimegundua kuhusu hii selectio ya ud na labda niulize wenzangu kama mmeona kitu kama hiki au hata mapungufu mengine.Hii selection inaweza ikawa ya kweli ila hata hivyo kuna...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu jf Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna dogo hapa kaomba vyuo vitatu na vyote vimeshatoa majina hayupo, tcu wamemwambia kua yuko admitted embu ushauri tafadhari wana jf
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama kuna mtu ambae anafahamu ubora au udhaifu na sifa mbalimbali za hiki chuo,naomba anisaidie ukilinganisha na soko la ajila la sasa
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Mlio omba saut tembelea website yao jionee mwenyewe
0 Reactions
17 Replies
2K Views
wakuu,naomba kuuliza,ivi kati ya hizo kozi mbili ipi iko mzuka zaidi ya mwenzake ktk job market?
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa ushahidi wa visukuku vilivyopatikana Kaskazini mwa Kenya kuna aina mpya ya binadamu walioishi huko takriban miaka milioni mbili iliyopita, wamesema wataalamu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Undergraduate applicants with multiple problems in their application forms APPLICANTS WITH MULTIPLE PROBLEMS IN THEIR...
0 Reactions
17 Replies
35K Views
Kwa mwenye habari kamili kama Mtihani wa taifa form six mwakani ni May, nimesikia tetesi chini chini ila sina hakika
0 Reactions
6 Replies
2K Views
anayejua au kusoma course ya information system naomba aniambie inahusiana na nin
0 Reactions
1 Replies
994 Views
1.MECHANICAL ENGINEERING- hii ni moja ya kozi nzuri sana , na ndo ina soko kuu kwa sasa tanzania. kutokana na uvumbuzi wa gesi ambao operation zake zinategemea sana hii major, mechanical inahusu...
3 Reactions
11 Replies
11K Views
WanaJF wa elimu naombeni kujua the general outline ya faculty ya IT:israel:
0 Reactions
0 Replies
892 Views
hili tatizo ni langu au kwa watu wote
0 Reactions
18 Replies
2K Views
hello wanajamii mimi ni kijana wa kidato cha sita katika shule mojawapo inayofanya vizuri kitaaluma tanzania ila naomben ushauri kwa mliotangulia kuhusiana na uchaguzi wa facult maana ninichukua...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
vp jamani majibu ya ifm,ruaha na institute of rural dvlpment yanatoka lini tujuzane
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Heshima kwa wakuu wote wa jukwaa la Elimu,,naomba kujuzwa kama kuna uwezekano wa mtu kuhama chuo ulichopangiwa na TCU na kuhamia kingine kama qualifications zinakubali..na kama inawezekana...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Dah jamani wakuu kimya kimezidi?inamaana mwaka huu SUA hawajachukua wanafunzi
0 Reactions
0 Replies
961 Views
Habari zenu ndugu? Natumai muwazima na salama. Kwa waokifahamu chuo hiki sitegemei mshituko wowote toka kwao bt kwa wale msiokijua chuo hiki maarufu kama Eckenford Tanga University habari ndio...
0 Reactions
32 Replies
11K Views
Nani mwenye namba za hawa raia niwashtue wa release kitu..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom