Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tcu
Lini watatoa Selection za Ardhi IFM Sua Mzumbe na TumainiDsm...???
0 Reactions
1 Replies
895 Views
Wakuu wa jamii Kuna chuo cha madini Shinyanga kinatangaza nafasi za masomo ya Utafiti wa madini ngazi ya diploma kuanzia Octoba 2012. Wahi mapema, nafasi ni chache. Chuo kinaitwa Earth Sciences...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
wakuu nisaidieni mtu akisoma hiyo faculty.anakuanani????any body anaefaham anisaidie plzzz!!!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nimechaguliwa bachelor of arts in african studies vp embu niambieni unaweza kufanya kazi gani?
0 Reactions
6 Replies
930 Views
sasa kama taasisi nyeti ya elimu kama TCU watu wanawachezia hivi ndio tunaenda wapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tcu imejipanga vipi juu ya matokeo ya vyuo vingine kama SUA, (color=red)MZUMBE(color) na ARDHI? Kwa mwenye idea yanaachiwa lini asisite kutujuza.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WALE WALIOOMBA SAUT MAJINA HAYO AU KAMA VIPE LINK HII HAPA SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Sua
Habari zenu wanajamvi,naomba kuuliza kama kunamtu mwenye tetesi za selection za SUA
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kwa yeyote mwenye ufahamu wa kazi hii au aliyesoma/anayesoma anisaidie ajira zake..uzuri wake,ugumu wake..pamoja na changamoto zake.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
1.Nini tofauti ya hizo mbili? 2.Ipi ni nzuri na kwanini? 3.Kwa nini BED SC. inachukuwa watu wengi zaidi? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wanajamvi wote nikiwaomba msaada wenu kwa moyo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ebana wadau vip kuhusu vyuo vingine kama SAUT,ARDHI,DUCE mbona bado kimya post zao wanasubili nini?!!!!!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari wana jamvi. . ,jamani naomba kujua kuhusu hili,mwaka jana udom kulitokea mambo ya mgomo ambyo yaliyotufanya tukae nyumbani kwa muda mrefu sana,baadae tuliitwa kuendelea na masomo lakn mambo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tcu
jani tcu wanachagua chuo chakwanza ulichochagua au?
0 Reactions
2 Replies
914 Views
go saut.co.tz: The Leading Saut Site on the Net utayaona yote
0 Reactions
20 Replies
9K Views
jaman nackia hawa jamaa kuna pre entry exam
0 Reactions
47 Replies
6K Views
kuanzia mwaka 2013 mtihani wa kumaliza elimu ya kidato cha sita utafanyika mwezi mei na ule wa kidato cha nne utafanyika mwezi novemba, je kama mwana jamii forums unafikiri mabadiliko haya...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Wadau! naomba kujuzwa, nataka kufanya mtihani mmoja wapo kati ya hiyo iliyotajwa hapo juu, ni upi ni bora zaidi kwa mimi ambaye nataka kufanya kwa ajili ya kuombea vyuo? na pia upi wenye gharama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NIsaidien WANA JAMVI hizi selection za udom kunasehem wameandika DIRECT.kwa walemliopitia tcu nyiemme andikiwaje??msaada please
0 Reactions
8 Replies
2K Views
safi sana, nimepata chuo Tumaini iringa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu nimesikia tetesi kuwa degree zinazotolewa na taasisi kama DIT au IFM hazipewi uzito na waajiri kama zinazotolewa na universities pia naskia kwa wale wanao apply vyuo vya nje ya nchi...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom