Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kwenye page ya helsb kuna majina ya watu ambao forms zao zina mapungufu.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
mbunge wa bukoba kasema kwa kuwa hakuna walimu wa hesabu mashuleni NECTA isipige penalty kwa wale wanaofeli somo hilo
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana Jf Naomba mungu hawa jamaa wasifanye madudu kama walivyo fanya mwaka jana yaani students hayupo katika list ya wanaotakiwa ku reapply for second round na vilevile hayupo katika missing...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Semina za sensa zinaendelea karibu nchini kote katika Tanzania huku kukiwa na habari kwamba asilimia kubwa sana ya walimu ambao walidhaniwa ndio wangeliendesha zoezi hilo wakiwa nje ya semina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nawasalimu wana jf wote wakubwa kwa wadogo..wadau ningependa kujua chances ya kubadili course pale muhas ikoje kwa wale mwaka wa kwanza mfano kuhama bpharm kwenda MD...naomba msaada wakujuzwa wakuu
1 Reactions
16 Replies
2K Views
kuangalia matokeo ya post za chuo 2012/2013 unafanyaje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kuna post nyingine zinaboa,hii sio twitter wala facebook.Tupost mambo ya msingi basi kuondoana ujinga.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
tcu
jamani naomba niwatoe wasiwasi kuwa TCU pekee ndio wenye mamlaka ya kutoa vyuo si udanganyifu mwingine wowowte!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Mwenye tetex zozote kuhusu tume na bord anijulshe jaman,huku naumia na ubongo unapata mawazo
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sasa hivi wameweka 2ND APPLICATION kwenye tool bar. Je ni kwa wale ambao hawakupata? kama hawajatoa matokeo ya first selection how come waweke 2nd application? Kuna mwenye fununu?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sijaona selection zenyewe, mbona tcu wenyewe hawajasema neno?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahuzunika sana na hii statement "First come first served" hii ni kauli ya kibaguzi kabisa. kwa wale ndugu zetu wa liopo vijijin kwa sasa hawana chao hapo hata kama wana sifa za kuingia chuo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dear math's grow up and solve your own problems
0 Reactions
11 Replies
3K Views
click the following link to read an interesting article. Untitled Document
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Jaman haka kampango cha round ya 2 katawanufaisha wanao mlk vyuo vya privet mana wao ndo watapata wateja weng na some of watoto w mama ntilie nkuambulia non-priority facuty
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huwa najiuliza kila cku hivi thaman ya mwalim iko wapi? Unaishi mwez mzima kwa posho ya kikao k1 cha mbunge? Hii inatisha!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JAMANIIII HILI NENO KWANGU HALIPO AU NDO WANA UPDATE MY SELECTION EXPERT MEMBER SPEAK PLEASE:eek2:
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wapendwa katika Elimu, hawa TCU wanatutania ? Mbona kimya kimezidi na hii ni Almost mida muafaka? ama mimi ndo ninapressure za bongo. Kama wameshindwa kazi basi waviache vyuo vifanye kazi zake...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Im a new comer1i do need ur support
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom