Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wadau nina rafiki yangu ambaye amelazimika kwenda open university lakini yeye anaona shule itakuwa ngumu kwani hamna lectures kaja kwangu kuomba ushauri mi nikamwambia ngoja nikaulize JF naombeni...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Zoezi la utoaji vyeti lililokuwa lianze leo tar 1/6 limeshindikana kwa sababu zisizoeleweka.. Kwa walioenda leo kuchukua wameona usumbufu uliokuwa unaletwa na utawala kutokana na kutokuwa na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS University of Dodoma College of Natural and Mathematical Sciences School of Mathematical Sciences Department of Statistics...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau katika jukwaa laelimu,inasikitisha kuona shule ya sekondari haina bodi ya shule.Nafikiri tunafahamu kazi ya bodi katika shule,hebu tujiulize maswala ya taaluma na uchumi nani anajadili,jibu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi sina kitambulisho cha mpigakura wala pass ya kusafiria na heslb wana hitaji copy ya kimoja wapo nifanyeje??nahitaji ushsuri jamani
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Matokeo baada ya kidato cha pili kupita bila mchujo kutaleta madhala gani baada ya mwaka 2016?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mimi nimemaliza 4m 6 na nina 1 ya 9 kwa HGL na katika kusoma guidbook nimeikuta iyo coz ya ed in ICTna kwenye qualification za kusoma hii coz wanasema 2 principle pass in any teaching...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Pamoja sana wanabodi! Napenda kutumia nafasi hii kuwapongeza wanachama wote wa Chadema tawi la Chuo kikuu cha Mwenge[MWUCE]leo limepata uongozi mpya katika uchaguzi ulio simamiwa na Katibu wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanacholalamikia ni hiki kifuatacho:- 1. Baraza linafelisha makusudi Waislam na shule zao. 2. Vitengo muhimu wapo Wakristo wakereketwa. 3. Wakuu wa shule Waislam wapinga...
1 Reactions
80 Replies
8K Views
Nimejaribu kulog in mtandao wa bodi ya mikopo toka alhamisi naambiwa nimekosea password wakati kiuhaki najua sijakosea. Wenzangu mnafanyaje kulog in? Hawa jamaa wa HELSB nadhani hawakufaya...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Sio kila siku tunawalalamikia walimu tuuu, Mara Ohoo kiwango cha elimu kinashuka mara ohhhh watoto hawaelewi kitu!!!!!!Kama unaakili timamu hauwezi kumlalamikia mwalimu kwa hayo yote wakati hauju...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
........HIVI? ni procedures zip nifuate n napo taka kwenda kusoma MASTERS?..................NA JE? vp kuhusu mzamin maana nilisikia kwmba unaweza pata mzamin kupitia BENK unayoitumia je ni...
0 Reactions
1 Replies
911 Views
wanafj naomba kufahamishwa kama kuna chuo chochote kinachotoa MBA mkani Mtwara kwa sasa. shukrani
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani naombeni mnisaidie mimi nimesoma CBG na nimepata division 1 sasa kuna kozi mbili ambazo naona kuna dalili kubwa za kuchaguliwa ila leo naomba mnisaidie kama nursing iko fresh tukizingatia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Samahanini watanzania wenzangu,naomba kuwaulza,hivi soko la hiyo faculty hapo juu inayotolewa na ardhi university likoje i.e in terms of kuajiriwa na kujiajiri?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani hakuna ma classmates humu jf? Tuwasiliane tujuzane mafanikio baada ya miongo kadhaa kupita.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu napenda kutoa taarifa kwa waliosoma shule ya msingi Uyui iliyopo Manispaa ya Tabora karibu na kijiji cha Kalumwa au Kakulungu ama kakola kwamba mwalimu wa siku nyingi sana amefariki dunia...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jumatatu tarehe 4/6/2012 wanafunzi wa kidato cha nne kanda ya kaskazini mashariki (TANGA NA KILIMANJARO) mwaka 2012 wataanza mitihani ya Utamilifu (MOCK).Mitihani huandaliwa na NEZES.Kila shule...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kumetokea hali ya ukosefu wa amani katika maeneo yote yanayozunguka vyuo vikuu vya mkoa wa Dodoma. Matokeo hayo yanahususha matukio ya ujambazi, ubakaji, uvamizi, uporaji na mengi yanayofanana na...
0 Reactions
40 Replies
11K Views
Alijitahidi kuwapata walimu wapya aliowapangia sehemu za karibu karibu, operatio ilikuwa ukipata karibu unatoa tunda, evoduius huyo, na wakubwa wanajua wanamuangalia anakula wake zetu. maanina
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom