Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

!!!!!!!!!!!!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wale mliosoma Old Moshi -PCM mnamkumbuka babu seleki aliekua mwalimu wa Adv Maths, yule mzee alikua kichwa sana, alikua anakuja bila any reference paper mwanzo form 5 mpaka form 6 anafundisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Baraza kuu la Waislamu nchini (Bakwata) limeendelea kumng'ang'ania katibu mkuu mtendaji wa baraza la mitihani Dr.Joyce Ndalichako,likimtaka kujiuzulu ili kulinda heshima ya serikali. Baraza...
0 Reactions
62 Replies
10K Views
Ni katika kufuatilia maswala ya elimu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni vizuri NECTA ikatoa ufafanuzi kuondoa mkanganyiko na tuhuma za waislam kwamba somo la islamic k,ledge matokeo yake kwa F6 kwamba yamechakachuliwa ili kuondoa dhana ya gonjwa hili baya la udini...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mvutano baina ya serikali na walimu nchini unaelekea kuibuka upya kutokana na serikali kutoa ahadi za uda mrefu zisizotekelezeka za kuwalipa walimu malimbikizo ya madai yao. Walimu wamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
GREAT ACHIEVEMENT! Nigeria Girl Bags PhD At 25 | Tumfweko
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Hivi huu mtindo wa organisations(both private and government kuacept job applications kwa watu wa UPER SECOND na kuendelea unasaidia nin? Nauliza hivyo kwa kuwa kuna wanachuo ambao wanatumia...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Wana JF naomba msaada,ninapomaliza hatua ya kusubmit taarifa za shule na taarifa za awali za kwangu page inayofuata inaleta haya maelezo. The web can nto display the page causes The web is...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baraza wanachelewesha kama kawaida yao!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Habari za jioni. Naomba niwaalike rasmi kushiriki katika Matembezi ya Hisabati ya Kila Jumatano kuanzia Posta Mpya (Dar) Mpaka Mwenge. Matembezi yanaanza saa 10 kamili jioni kila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanafunzi waliomaliza mwaka wa tatu ktk mwaka wa masomo 2010/11 ktk chuo kikuu cha dodoma na waliokuwa wanalipiwa ada na bodi ya mkopo hatimaye wamenyimwa vyeti vyao kwa maelezo kuwa wanadaiwa ada...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kati ya vitu ambavyo mtu unajifunza baada ya kujaribu ni hili la gharama la kuchapisha vitabu Tanzania. Kwa muda mrefu nimekuwa nikitatizika sana na changamoto ya watoto wetu kujisomea na...
7 Reactions
37 Replies
4K Views
Nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu nikichukua mchepuo wa pgm na kupata div iii-13 yaani physics-e, mathematics-d, geography-d na gs-s, pia o-level chemistry sikuifanyia mtihani kutokana na sababu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niliwahi kufanya utafiti, nakugundua kuwa wakuu wa vyuo na sekondari wengi ni magamba, na huwa wanatumika sana wakati wa chaguzi,.. Nadhani kuna huja wa wakuu wa vyuo vya serikali wasiwe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wanandugu, natafuta shule ya kuhamishia watoto mmoja grade 2 na wa pili ni K3 (kindergatten 3rd year). shule iwe ni ya english medium, wana option ya school bus, na wanafundisha maadili mema...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Sisi ni wanafunzi wa mwaka wa kwanza tunaosoma nchini Algeria kutoka Tanzania,tumeamua kutuma taarifaa hizi katika vyombo vya habari kuhusu bodi ya mikopo yaani kuhusu utumaji wa pesa kwetu sisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wanajf juz kuna mtu alianzisha thread kuhusu baraza la mitihani kuwafanyia uhuni wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu ambao walifanya somo la maarifa ya kiislam lakini kwasababu ya...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
To graduate sio kuvaa Kuvaa joo,T- Shirt na Maandishi Makubwaaa eti UDBS Class of 2005.. Mara Mzumbe University BAF 2010..Mara IFM Bachelor of Information Technology.... Mara MUHAS Doctor of...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Amplify plc is considering a project which would require an outlay of 2.4m Tshs, at the outset. The money cash flows receivable from sales will depend on the specific inflation rate for Amplify’s...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Back
Top Bottom