Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Africa Scholarships Program: Alma Graduate School (the business school of the University of Bologna) and the Foundation for World Wide Cooperation are pleased to announce the "Africa Scholarship...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Shida yangu ndio hiyo, na kama wametoa, je mwenye kufahamanijuze samahan kwa usumbufu
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Binafsi namkumbuka mwl wangu wa Literature miaka hiyo pale Shinyanga sec aliitwa mwl Mipawa almaarufu kama Okonkwo. Alikuwa akija na mtoto wake darasani na huku yeye anakula kiazi na kufundisha...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Hivi kwa nini mitihani ya UE isiwe inasahishwa na bodi maalumu kama ilivyo NECTA kwa shule za secodary natamani iwe hivi ili kupunguza unfair zinazotendwa na wahadhili wetu hapa Tz.Unakuta mdhari...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Nashauri mitihani ya masomo ya dini isahihishwe huko huko misikitini na makanisani na wawekeane maksi watakazo kama ni 100% sawa kama ni 0% poa pia matokeo wapeane hukohuko ktk nyumba za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Itaongeza ufanisi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bachelor of science general inahusiana na mambo gani?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimesema hivyo kwa sababu, mimi binafsi nimesoma shule ya serikali nikiwa O'level then nikasoma shule ya private ktk A-level. Nikiwa O'level, kuna walimu ni wazi walikuwa wachovu ktk masomo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ajabu Marekani ukienda kwenye Interview hawaulizi vyeti kabisa wala copy za vyeti haziko kokote kazini. Nilipokwenda kwenye interview yangu ya kwanza nilikwenda na vyeti vyangu vya Tanzania...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Watu wanalilalamikia baraza la mitihani la taifa (necta).nami nakubaliana nao na naona ipo haja ya kulimulika baraza hilo. Kumekuwa na malalamiko kwamba usahihishaji wa mitihani si wa kuridhisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
iweje unaingia darasani umevaa mlegezo kiunononi?iweje unaingia kufundisha darasani una headphone masikioni?iweje unavimendea vitoto vidooogo?unafundisha umekaa juu ya meza?unaingia kufundisha uko...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kunandugu yangu alikuwa ananishauri nisome hiyo kozi lakini sina ufahamu wa kutosha kwamba inahusika na nini zaidi na market yake ikoje. Tafadhali kwa mwenye uelewa anijulishe
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Shule ya jumuiya ya wazazi wa ccm Mabogo Wilayani Mvomero yafungiwa kwa kukosa usajili na vigezo vya ubora. Chanzo:ITV Mkutano wao wa kesho ungejadili pamoja na hili bila kusahau ubora...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
stagered ya mzumbe inaboa asikwambie mtu,ukikaa vibaya unaeza ukaacha kusoma,miez mitano nyumban si utani.Mnaopanga kuja mzumbe beware
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni kawaida ktk shule zetu mwalimu hata wa somo la english aingiapo darasan kuamkiwa "shikamoo mwalimu" naye huitikia "marahaba kaeni chini" na somo la dakika 80/40 litaendeshwa kwa kiswahili na...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
  • Closed
Talented and enterprising young graduates with strong leadership potential seeking to undertake Masters I PhD degrees studies in the following PAU Institutes: Pan African University Institute for...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Good Day wana JF, aise kuna kasheshe kubwa UDOM jamani niko huko undercover --- huyo Principal wa UDOM ni MFISADI kweli kweli. Kuna scandals nyingi sana huko na inafanya wafanyakazi wengi...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Siku za hivi karibuni Mufti alimtaka Ndalichako ajiuzuru kutokana na kuwafelisha waislam, Leo Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na waislam juu ya matokeo mabaya wanayodhani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kufuatia shutuma wa baadhi ya madhehebu/dini kwamba watoto wao/dada/kaka/ndugu zao kwamba wamefelishwa au hakutendewa haki na necta, basi ni vizuri hii mitahi au somo lote kwa jumla likaondolewa...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Ni takribani wiki moja sasa tangu zoezi la ufuatiliaji wa kugawa vyeti kwa wahitimu wa mwaka jana Katika chuo kikuu cha Dodoma kufika bila ya mafanikio yeyote!!.Sababu kuu ni ETI WANADAIWA ADA NA...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom