Habari za leo wanajukwaa
Naomba kufahamu tofauti ya hizo kozi kwenye nyanja zifuatazo
1. Mwenye BBA in Accounting je anapata unafuu sawa na mwenye BAC kwenye CPA
2. Sector zipi ambazo mwenye BBA...
1.Jamani kwanza naomba kuuliza nani anakifahamu chuo RUAHA UNIVERSITY??? kwa anayekifahamu plz maelezo kidogo kuhusu hicho chuo
2.naomba kwa anayejua anisaidie hivi anayesoma private chuo kikuu...
Wasalaam wakuu!
Naomba kufahamu hilo, je Feza school ni international school kama ilivyo IST, Iringa International na n.k.
Au ni shule tu ya kawaida inayofuata mitaala ya Tanzania?
Habar wana IF natumai wazima waafya nami
Napendaa chukua nafasii hii kuomba ufafanuzi
Juu ya kozi tajwa apoo juu znahusu nini na je!
Zina base katika sector zipi na uwanda wake wa kujiajili na...
Mimi ni mtumishi wa Umma mwenye shahada yangu, nimeamua kujiunga na chuo kikuu huria kusomea shahada nyingine ya sheria. Nimechaguliwa kwenye mkupuo huu wa Julai.
Naomba kama kuna mtu mwenye...
Na Shafii Hamisi Athumani
Safari ya elimu imekuwa ikianza kwa matumaini makubwa ya mwanafunzi kuanza shule kwa furaha na kuhitaji kufikia malengo makubwa hapo baadae akiungwa mkono na kila...
habari za wakati huu wana JF kama title inavyo jielezea napenda kujua na kueleweshwa kuhusu koz
Tajwa app juu znahusu nini na zina base katika maswala gani katika upande wa ajira na kujiajili...
Inakuwaje wadau ebana nina mdogo Wang anapenda sana maswala ya lift zinazofugwaga katika majengo marefu
Kwa sasa ningependa kufahamu
Ni Chuo gani hapa bongo wanachotoa mafunzo ya lift control
Na...
Mdogo wangu amechaguliwa chuo Cha TIA kwenye course business in admistration je kwa wale wanafahamu hiki chuo je ni sahihi kwa mdogo kusomea na vip kwenye wa Ajira kinazingatiwa kwa upande wa hii...
Naomben msaada nina binti yangu kamaliza form six, ndoto yake kubwa nikusomea air hostess (uhudumu wa ndege) nilikua nauliza Ili awe vizuri nimpeleke chuo gani? achukue hata diploma au degree...
Hello
Msaada niko EGM nimepata div II pont 12 lakini nina E ya A/math, C ya geo na D ya economic
Kwa O-level nina sina F kwa somo lolote nilikuwa sayansi
Eti pale Ardhi University naweza kusoma...
Kwa Sasa nchi yetu imekuwa na wasomi wa kutosha na kwamba Kila sekta Sasa inajitosheleza na ndio maana Kuna akiba kubwa ya wasomi wengi mtaani na kwingineko.
Kuna haja Sasa serikali kuangalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.