Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani mi nimechaguliwa Bagamoyo sec naombeni mnisaidie details zake kama skuli ni nzuli au la
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni mwezi mmoja umetimia tangu chuo kikuu cha Udom kifunguliwe na wanafunzi wote wa mwaka wa kwanza college of informatics and virtual education pamoja na Natural science hawajapewa hela za...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
poleni na mihangaiko wakuu, nina shida moja naombeni orodha ya vyuo vya canada vinavyonipa admission ya masters bila TOEFL na GRE....wakuu nisaidieni wajemeni
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Ndugu wana jamvi wenzangu ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kuniwezesha kumaliza masomo yangu. Nimepata 'Merit' in Msc. Operations Research and Statistics. Kwenye hii course tulikuwa wanafunzi 15...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
`Sign language is the main cause for the deaf students in Tanzania to fail their National exams be it standard 7 or form 4 and form 6 because of the nature of the language(sign language) that it...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wan JF Mimi ni Mhitumu wa shahada ya kwanza Chuo kikuu cha Dar es Salaam. Baada ya masomo ya degree yangu ya kwanza nikapata kazi Iringa. Katika kuangalia mstakabali wa kujiendeleza...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Kamati ya wazee haikubaliani na uamuzi wa kuwafutia matokeo wanafunzi wale tu walioshutumiwa kufanya udanganyifu bali kuwafutia wote kwa kuwa mitihani ulivuja. Kufuatia hoja hizo za msingi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Waalimu wa shule ya msingi Mbezi Ndumbwi iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam, wanawaadhibu wanafunzi wasiofanya majaribio ya kulipia wakati wa asubuhi (speed test) kwa kuwakalisha chini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanafunzi wa College of Business Education wanatarajia kuandamana leo kupinga sheria mpya chuoni hapo inayopiga marufuku uvaaji wa suruali zinazobana, sketi, blouses na mavazi mengine yanayoacha...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Najiuliza hili swali, mbona shule za international na maacademy hakuna viboko, au shule za wahindi na watu wanafaulu. hivi hakuna njia nyingine ya kuwaadabisha vijana wetu? mi naona viboko ni...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zilizozagaa hapa chuoni ambazo hazijadhibitishwa rasmi zinasema mwl wa cbe hapa dodoma usiku wa kuamkia leo tarehe 11/4 ameuwawa kikatili na watu wasiojulikana vyanzo vya habari vinasema...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
waafrika wenzangu habari. nina mdogo wangu ana dploma in Accountancy ya TIA, sasa vp anaanzia module gani cpa na cost zake, ratiba ya vpindi, centre nzuri, ada, registration lini? Nb. kwa sasa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
poleni na kazi wadau ninatafuta admission ya masters canada, naombeni list ya vyuo vitakavyonipa admission bila TOEFL na GRE ....nisaidieni wakuu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SHORT COURSE ANNOUNCEMENT ON DATA PROCESSING AND ANALYSIS The Department of Statistics, College of Natural and Mathematical Sciences is announcing a short course on “DATA PROCESSING AND...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Nikiwa likizo hamu ya kusoma sina kabisa sijui kwanini,msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hivi kuna hili swala la measuring of the stock market but i get cofusion. Please, i would like to know how they know the stock of certain company increase/decrease? Also i would like to know if...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeuliza kwasababu,kwenye kitabu cha TCU (ie Student's Guidebook) wameandika zinapatikana NBC,cha ajabu leo nimeenda kwenye tawi moja Arusha,wanadai hawajui kitu kama hcho!
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wandugu, Kama kuna mwana bodi yeyote ambaye alishawahi kufanya kazi au bado anafanyakazi Mradi wa HADO (Hifadhi Ardhi Dodoma), nadhani makao makuu yake yalikuwa/yapo Kondoa; au mradi wa HASHI...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
waheshimiwa, kijana wangu kapotelewa na cheti cha kidato cha nne, sita na chuo kikuu anaweza kupata vipya? ni utaratibu gani afuate.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimesikia matangazo radioni:tumaini na clouds wanatangaza chuo kinachotoa mafunzo ya mifugo ndani ya miezi 3 tu na mhitimu atakuwa na uwezo wa kusimamia kazi za mifugo popote, tena anayetaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom