Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu. Ninaomba na kuhitaji ushauri wenu katika hili.Nina binamu yangu amesoma cheti katika chuo KIKUU CHA KWAZULU NATAL cha Afrika ya Kusini,FACULTY of HUMANITIES,SOCIAL SCIENCE and...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dr Bilal ateuliwa kuwa Mkuu wa Chuo cha Nelson Mandela,Prof Mwakyusa Mwenyekiti wake. Source: Michuzi Blog
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau wa Elimu nataka fanya research ktk somo la english kwa tz, naombeni mada ambayo ni researchable ikiwa ni sehemu ya kumalizia masomo yangu ya chuo. natanguliza shukrani za dhat kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu nina mdogo wangu alisoma certificate hapa CBE akapata ajira sasa ni mwaka WA sita ofisi imeamua kumpa ufadhili WA kusoma kwa mwaka wa masomo 2012/2013 Yeye amechukua fomu za masters na...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Leo wanataaluma na wataalamu wa sayansi ya dunia (Earth Scientists-Geologists et al) tumemzika mwanataaluma mahiri Prof.Mutakyahwa. Prof.Muta ni mmoja wa wataalamu waliotoa mageo karibia wote...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba kuuliza nchi ambazo ada ya kusoma masters na gharama za maisha sio kubwa ukiacha India na China.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
1.Timbulo---------kukopi(Naomba desa nikalitimbulo,niazime cd yako nikaitimbulo,kama umeupenda huu uzi unaweza ukautimbulo etc) 2.Lusinde----Tusi,kutukana etc(Kulusinde ni kutukana,amemlusinde...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The liquid inside young coconuts can be used as a substitute for Blood plasma. No piece of paper can be folded in half more than seven (7) times. Donkeys kill more people annually than plane...
0 Reactions
1 Replies
819 Views
Jaman naomba more details about galanos lin wanafungua advanc na vp mazngra kwa wazoefu
0 Reactions
1 Replies
831 Views
Wana JF, Naomba msaada kama kuna mtu anafanya kazi au anamfahamu mtu anafanya kazi mamlaka ya hali ya hewa anipe contacts zake. Kuna research nataka kufanya, naangalia uwezekano wa kupata data...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanafunzi wa Kohoti ya kumi ya Taasisi ya Mafunzo ya Sheria kwa Vitendo maarufu kama Law School wapo kwenye mitihani ya Written Practical Exercises(WPE).Wanamaliza mitihani hiyo leo.Hadi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wapendwa, jamani naulizia kama mwenye info za grants/fellowships kama mtu anasoma hapa hapa tanzania. natanguliza shukrani kwenu
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Wa jf, mtot wa sister amechaguliwa kujiunga na kidato cha tano shule za serikali, (TANGA SEC) hajapata barua ya mwaliko/maelezo( Instruction letter). Kuna mwenye kujua hizi shule zinaanza masomo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna mwanachuo wa udaktari mwaka wa nne muhas ajulikanaye kwa jina la Erick hyera amefariki dunia usiku wa kuamkia jumatatu kwa ajali ya gari. Ajali hiyo ilitokea mandela road maeneo ya mabibo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hizi Phd zina maana ?
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Naomba msaada nimemaliza form six nataka kwenda kusoma marekani degree ya kwanza mambo ya journalism, vipi garama zake natakiwa kuwa na m ngapi za tz kuanzia visa, tiket, na maisha ya kule yakoje...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi ni mwalimu ngazi ya cheti/grade A. O-Level nilipata Math F, English D,History D, Geog C, Biology D, Civics D, Agriculture C na Kisw C. Napenda kusoma: Kilimo [any part], Procurement, Mipango...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu wadau wa Jamii Forum na wasii katika blog hii tukumbushe serikali yetu kuwa kuna haja yakutupia macho shule za kata Tanzania kwani shule hizi zinaongoza kwa kufelisha wanafunzi na hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika chuo cha ARDHI university zamani UCLAS. Nataka kuomba scholarship ya kwenda kusoma nje kwa coz tofauti na ya sasa ninayosoma. Kwa sasa nasoma BsC in...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The age of men.. It is now accepted that the world is in a new geological period - called - Anthropocene. This simply means the age of man's influence into the global ecosystems, biodiversity and...
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Back
Top Bottom