Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

East African Online Law Library join for law lecture notes
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Jamani naomba kuuliza gharama za kusoma masters degree na kuishi nchini Japan. Pia ninaomba kwa wale wanaofahamu nchi ambazo zinatoa masters degree na zenye ada nafuu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shija Felician,Kahama UMEME wa mionzi ya jua[ Solar] unaoendelea kufungwa kwa ufadhili wa Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige katika baadhi ya Shule za Sekondari za Kata wilayani Kahama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mwenye proposal format ya kiswahili anisaidie tafadhali
0 Reactions
4 Replies
6K Views
naomba kuzifahamu topic za form five za phyics,chemistry and biology.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A teacher is the designated leader,and the pupil is the follower.Each pupil is expected to perform his or her task and, see that the purpose of the group is achieved,this will let pupils develop...
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Wana jamii forum naomba ushauri wenu, kutaka kujua hadhi ya elimu huria kama inayotolewa na OPEN UNIVERSITY katika jamii yetu ya kitanzania aidha kwenye soko la ajira au mtazamo wa jamii kwa...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Vijana waliomaliza f4 mmefeli madai shule hazina walimu ama bora wapo,wewe mbona hutaki ualimu unafikiri watatoka wapi,kila mtu anawaza kwenda bank,sociology,n.k,kijana unatakiwa uangalie soko la...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wadau naombeni mwenye kufahamu kwa ufasaha hiki kipengele kilichopo ktk hii form ya hawa watu wa TCU ambayo unatakiwa ujaze tayari kwa kufungua account yako ambayo utaitumia kwa kutuma particulars...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa miaka mingi Sanaa ya Tanzania imekuwa ikikuzwa na kuendelezwa kwa kile kilichoitwa kipaji pekee, hili limefanya sanaa yetu isimame na isisonge mbele kulingana na mabadiriko ya sayansi na...
1 Reactions
0 Replies
860 Views
SERA ya Taifa ya elimu inabainisha kuwa itatoa elimu kwa watu wote bila kujali upungufu wa wananchi wake hususan wenye ulemavu. Uhuru wa kila Mtanzania kupata elimu ni haki yake ya msingi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jf sisi tunataka kuanzisha Association inayohusu kutoa elm ya maadili kwa vijana hasa ktk mavaz je 2tumie mbinu zp il tufanikishe suala hil?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello,am looking for somebody to help me out with my last installment school fees which is only 2mil. I have very good results from my last semester (upper second 3.8), i study hard but i really...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanafunz wa vyuo vikuu tz wamefungiwa kufanya mikutano yao hasa wanapo dai hak zao zinazoonekana kutotekelezwa na serika, likiwemo la kucheleweshewa mikopo yao. Je hii ni halali? Na maisha bora...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwishoni mwa wiki iliyopita Uongozi wa chuo iliwakamata wanafunzi wakiwa kwenye daladala ya ABIRIA pamoja na abiria wengine,wakaamulu gari liludi mpaka jengo kuu la utawala na kuanza kuwasachi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanafunzi wa vyuo vikuu tz wamekatazwa kufanya mikutano yao ambayo wamekuwa wakiifanya wanapodai haki zao zinazopuuzwa na serikali ikiwemo kucheleweshewa mikopo yao. Je hii ni halali na haya ndiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Fredy Azzah DISEMBA mwaka jana, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ilitangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba ikieleza kuwa wanafunzi 9,736 wamefutiwa matokeo kutokana na kugundulika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni swali nililoulizwa leo na bwana mdogo wa form one akaniahidi dhawadi ya bazoka nikipatia,nimepewa siku 2.Naombeni mchango wenu tugawane bazoka...!!! *zingatia-liwe katika lugha ya kiswahili tu
0 Reactions
44 Replies
10K Views
NAOMBA MWENYE TAARIFA KUHUSU NAFASI ZA KUSOMEA UALIMU KWA WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE TUJUZANE. natanguliza shukrani
0 Reactions
6 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…